Naomba ushauri, girl friend wangu amepata ujauzito miezi 3 baada ya kujifungua

Naomba ushauri, girl friend wangu amepata ujauzito miezi 3 baada ya kujifungua

Duuh haya makosa mazito ila Usiutoeee andaa hela ya Maziwa ya Unga japo mtoto aliezaliwa afya yake itazorotaa sana yani Mmemdhurumu pakubwaa sanaa...!! Poleni ila Kama mwanaume jifunze kuwa na sauti akijifungua huu ujauzito hakikisha mnakuwa makini
 
Mbona kawaida hii...sema andaa hela ya maana mkeo ale misosi ya maana sio michips , ili aweze kumaintain huo ujauzito... Namuonea huruma hicho kichanga[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ok, We Kidume Cha Mbegu..! Umemjaza Mimba nyingine Wakati Katoka kujifungua Karibuni.

Sikushauri uue kwa Kuitoa Mimba..Usijaribu abadan. Ila sasa take full responsibility onyesha uanamme wako Usikimbie tatizo ulilolisababisha wewe Mwenyewe.

Kama Ulikuwa hujamuoa! OA sasa weka ndani.Tafuta Wasaidizi wasaidie kulea Kichanga na Mama aendelee kulea Mimba soon Unakuwa na watoto wawili.

Hapo hata Sisi wanaume Wenzako Utakuwa hujatuangusha Kbs bali utakuwa umetujengea Heshima. Mambo ya kukimbia kimbia tuwaachie wavulana..!! Uanaume sio Kuisimamisha tu kama Marioooooooo! bali Majukumu Baba..
Ndugu yangu fuata huu ushauri ni fact...kuna mmoja yeye baada ya miezi miwili tu akapata mimba..lakini mwaka huu kajifungua salama....take full responsibility kama jamaa alivyo shauri ila don't abort.
 
Ushauri:

1. Mchukue huyo Girlfriend wako na Kachanga muende Hospitalini tena kwa wataalamu haswa (Jiandae Kisaikolojia kupokea Matusi, Aibu, Lawana na mengine yote).

Serikalini: Muhimbili National Hospital, Hospitali ya Mkoa au Wilaya.

Binafsi: Regency Hospital, Aga Khan & Kairuki na nyingine zenye Majina Makubwa.

2. Hakikisha Familia yako wote watatu mna Bima ya Afya. Hata kama ni Bima ya Kazini lakini Mama na Mtoto wakatie NHIF. (This is no. 1 priority and it's must)

3. Hakikisha hatoi Mimba na uwe nae karibu mara nyingi kwa kumtia Moyo na kum support; USIMLAUMU!

4. Tenga Fedha za kutosha kwa ajili yao kama unazo. Kama huna ANZA KUZIKUSANYA KWA BIDII maana wakati unakuja zitatumika na hazitatosha.

5. Zingatia kwa ukaribu Afya ya Kiakili ya Mama na Msosi mzuri (Balanced Diet) kwao wote.

"Ukichelea kulia mwana, utalia wewe."
 
Ushauri:

1. Mchukue huyo Girlfriend wako na Kachanga muende Hospitalini tena kwa wataalamu haswa (Jiandae Kisaikolojia kupokea Matusi, Aibu, Lawana na mengine yote).

Serikalini: Muhimbili National Hospital, Hospitali ya Mkoa au Wilaya.

Binafsi: Regency Hospital, Aga Khan & Kairuki na nyingine zenye Majina Makubwa.

2. Hakikisha Familia yako wote watatu mna Bima ya Afya. Hata kama ni Bima ya Kazini lakini Mama na Mtoto wakatie NHIF. (This is no. 1 priority and it's must)

3. Hakikisha hatoi Mimba na uwe nae karibu mara nyingi kwa kumtia Moyo na kum support; USIMLAUMU!

4. Tenga Fedha za kutosha kwa ajili yao kama unazo. Kama huna ANZA KUZIKUSANYA KWA BIDII maana wakati unakuja zitatumika na hazitatosha.

5. Zingatia kwa ukaribu Afya ya Kiakili ya Mama na Msosi mzuri (Balanced Diet) kwao wote.

"Ukichelea kulia mwana, utalia wewe."
Ushauri wako unafaa uwape watu wanaoishu OBEY na Masaki, huyu yuko MAJI MATITU, Hizo fedha za kutosha za kutunza atapata wapi??
Wabongo mnatoaga ushauri wa kipambavu bila hata kuangalia hali halisi ya maisha ya WaTZ.
 
Ushauri wako unafaa uwape watu wanaoishu OBEY na Masaki, huyu yuko MAJI MATITU, Hizo fedha za kutosha za kutunza atapata wapi??
Wabongo mnatoaga ushauri wa kipambavu bila hata kuangalia hali halisi ya maisha ya WaTZ.
Kwani OP amesema yuko wapi yeye mwenyewe!? Au wewe unamjua mwenzetu?

Pia mbona nimemshauri kuwa kama hana aanze au kuendelea kuzitafuta kwa bidii zaidi kuliko mwanzo au hujasoma?

Anyway, sio inshu. Ushauri ni wa bure.
 
Kwani OP amesema yuko wapi yeye mwenyewe!? Au wewe unamjua mwenzetu?

Pia mbona nimemshauri kuwa kama hana aanze au kuendelea kuzitafuta kwa bidii zaidi kuliko mwanzo au hujasoma?

Anyway, sio inshu. Ushauri ni wa bure.
Huyo ni mchepuko wangu mkuu. Ananijua vizuri wapi hua nampigia miti.
 
Jitahidi kwenye lishe ya mama na mtoto. Usikubali kutoa mimba hata kwa kulazimishwa
 
Hiyo inaitwa doble entry au mapacha wa nje. Msiitoe hiyo mimba si ajabu mnataka kutuulia Rais wa 2060.

Mtoto wa miezi mitatu anakua kwa maziwa na akifika miezi sita anaanza kula vyakula vya kawaida vikivyosagwa. Hii ni kama hamtapenda aendelee kunyonya maziwa ya mama.

Akishajifungua mchague njia ya uzazi wa mpango kabla hajarudi nyumbani kutoka hospitali.

Itabidi uwekeze sana katika lishe ya nyumbani kipindi hiki.
 
Wala asitoe hiyo mimba anaweza kuendelea kunyonyesha huku ujauzito unaendelea kukua vizuri.

Muhimu aanze clinic mapema apewe elimu sahihi aanze kunywa Folic acid na Calcium.

Upande wa vyakula abase zaidi kwenye protein food na vegetable.
 
😳😳.....!! Hivi hivi Unahalalisha 'MAUAJI' mkuu.

Hizi ni Miongoni Mwa Dhambi Za Kuepukwa Saaaaaana Wandugu..!!
Dhambi ipi Mkuu,mtu nahesabika hai anapozaliwa sasa hivi ni Hatua za mwanzo kabisa, kwasababu akiilea kuna mawili aidha huyo wa kwanza adhoofike ama apotee kabisa
 
Back
Top Bottom