Naomba ushauri juu ya kufuga kuku Hawa!

Naomba ushauri juu ya kufuga kuku Hawa!

Nimenunua na size hio sijawapa chanjo bado yoyote nahisi Hadi wamefika umri huo tayari Wana chanjo


Nimewapa dawa mbili tu hizi hapa chiniView attachment 2798768


Kuna ambao Wana mafua tuseme Ni wote tu hizo dawa naona Kama Kuna saa zinasaidia Kuna saa mafua yanazidi Hadi mmoja hali anazubaa tu

Last night nikaweka tetracyline wakanywa naona wamechangamka ila mafua hayajaisha naomba ushauri juu ya dawa ya mafua


Pia nasikia ukiwapa chanjo Kama hivo wanakufa
Hapo utapata hasara Kuku wachache unawahudumia balaa
 
Hao sio sasso wewe... Umepigwa mchana, hivyo vijogoo ni vibovu hatari. Vikimaliza mwezi kwa mfumo huo niite mbwa nimekaa pale
 
Back
Top Bottom