Naomba ushauri juu ya kupambana na mke wangu anayeninyanyasa kwa sababu anataka kutumia sheria kunifilisi

Naomba ushauri juu ya kupambana na mke wangu anayeninyanyasa kwa sababu anataka kutumia sheria kunifilisi

Hyo nyumba mlIjenga wote au ameikuta?
Sheria ni kama game if chess, wewe tafura legal expert atakupa technicalities za kuwa favourable upande wako,
Lakini kwanini na wewe ukubali ahamie wako hata kama umemzalisha?
Kuna jamaa yangu alimpa mimba binti, na alimuuliza kama yuko safe au danger, alimjibu safe kabla ya shoo
Baada ya miezi nane, binti anamwamvia ana mimba.
Jamaa anauliza mbona ulisema huko safe na nilisema sitaki mtoto, demu anaumama tu maneno.
Alikuja kuzaa, alafu akaletwa na mama zake wadogo ofisini kwa jamaa, wao hawamtaki hawawezi kumlea achukue mzigo wake, ile familia walikuwa wapare.
Uzuri mwamba alikuwa chuma, alimwambia nitatuma matumizi huyu siende nae popote.
Behind the scene, pale kwa ofisi ya mwamba kumbe kuna jamaa alikuwa mpare ndio alikuwa anauzaa cd kwa demu, na mipango yote
Mwisho siku chuma kilikaza
Jamaa anywe pepsi big nalipa
 
Nyumna haachiwi na kumpiga matukio ili akimbilie court huko ndio unammaliza chap ...nyumba haimuhusu maana kaikuta
Sijui sheria lakini kama hakuandikisha kuwa kipindi anamuoa alikuwa na mali kazaa inaweza kula kwake.Maana anaweza kusema kabla hajanioa tulikuwa wachumba kwa miaka7 hata kipindi anajenga tumeshirikiana wote muda huo akisema anajipanga.Akihonga na kuhonga kwishaaa
 
Huyo ni tapeli kama tapeli wengine tu, kiufupi uko na jambazi
Cha kufanya tafuta mwanasheria wa masuala ya ndoa akusaidie na kufungua jalada
Kama nia yake mbaya hawezi pata kitu
Rekodi kila tukio na hata picha
Kuhusu laptop ungemshtaki kwa wizi ila sijui mnaishije na watu wa hivyo
Umasikini ni Laana jamani
Laana kabisa.
 
Wadau, nina mke niliyeanza naue mapenzi mwaka 2010 baadaye akaenda kusoma certificate na akamaliza Diploma mwaka 2015.

Wakati huo aliniomba nimusaidie karo na matumizi shuleni na wakati walikizo alikjwa anakuja kwako anakaa kiasi na kuondoka. Mnamo mwaka 2016 alipata mtoto akaka kwa shemeji yake. Nami niliendelea kugaramia Kila kitu kama baba.

Mwaka 2020, niliamua kukaa naye na akahamia rasmi kwenye nyumba niliyokuwa nomejenga baada ya kufabya kazi kwa zaidi ya miaka 8kutokana na mishahara etc.

Sasa tangia amekanyaga kwangu kwanza anachukia hata watoto wandugu wanaopita kwetu kwenda masomoni.

Pili anaomba hera labda laki 3 ghafla nje ya bajet na ukiwa huna anakufungia nje ya nyumba au atapasua vioo vya nyumba au atachana nguo zangu kwa wembe.

Katika utafiti wangu nimesikia kunafygu wamemushauri anifanyie vituko ili ni overact harafu anipeleke polisi na mahakamani, nifungwe harafu nyumba na baathi ya pesa zilizoko benka amabzo sijamwabia zilizo basi zitafishwe kwa kisingizo za haki kupewa mwanamke kutunza yeye na mtoto.

Juzijuzi aliondoka na laptop yangu ikiwa na critical information na sijui Iko wapi inagea kakili kusema kaweka bond apate laki 5 alikuwa nazo, nimemuuliza aliiweka bond Kwa nani hataki kabisa kusema.

Huyu mwanamke sijatoa mahari sababu tangia kufika niliona vituko hadi nikashangaa hivyo sijapata moyo wakutoa mahari na hataki kuachika.

Wadau naombeni njia ipi Bora yakufanya ili likitokea la kupelekana polisi na mahakamani basi nia yake yakunidhurumu mali chache nilizonazo isifanikiwe na tuachane salama.

Nawashukuru sana
Ukishajua tatizo umepona.
Umejaa Nia na njama zake, hapo umesha-solve tatizo Kwa 50%
 
Alimony haimaanishi uchukuliwe hivyo vitu unavyosema.
 
Wadau, nina mke niliyeanza naue mapenzi mwaka 2010 baadaye akaenda kusoma certificate na akamaliza Diploma mwaka 2015.

Wakati huo aliniomba nimusaidie karo na matumizi shuleni na wakati walikizo alikjwa anakuja kwako anakaa kiasi na kuondoka. Mnamo mwaka 2016 alipata mtoto akaka kwa shemeji yake. Nami niliendelea kugaramia Kila kitu kama baba.

Mwaka 2020, niliamua kukaa naye na akahamia rasmi kwenye nyumba niliyokuwa nomejenga baada ya kufabya kazi kwa zaidi ya miaka 8kutokana na mishahara etc.

Sasa tangia amekanyaga kwangu kwanza anachukia hata watoto wandugu wanaopita kwetu kwenda masomoni.

Pili anaomba hera labda laki 3 ghafla nje ya bajet na ukiwa huna anakufungia nje ya nyumba au atapasua vioo vya nyumba au atachana nguo zangu kwa wembe.

Katika utafiti wangu nimesikia kunafygu wamemushauri anifanyie vituko ili ni overact harafu anipeleke polisi na mahakamani, nifungwe harafu nyumba na baathi ya pesa zilizoko benka amabzo sijamwabia zilizo basi zitafishwe kwa kisingizo za haki kupewa mwanamke kutunza yeye na mtoto.

Juzijuzi aliondoka na laptop yangu ikiwa na critical information na sijui Iko wapi inagea kakili kusema kaweka bond apate laki 5 alikuwa nazo, nimemuuliza aliiweka bond Kwa nani hataki kabisa kusema.

Huyu mwanamke sijatoa mahari sababu tangia kufika niliona vituko hadi nikashangaa hivyo sijapata moyo wakutoa mahari na hataki kuachika.

Wadau naombeni njia ipi Bora yakufanya ili likitokea la kupelekana polisi na mahakamani basi nia yake yakunidhurumu mali chache nilizonazo isifanikiwe na tuachane salama.

Nawashukuru sana
Sheria haiangalii mchango wako tu, bali hata hasara uliyosabanisha katika mali za ndoa, and of course mgao si lazima uwe hamsini kwa hamsini
 
Back
Top Bottom