Naomba ushauri juu ya simba day 2021 natalia niende na mwanagu

Naomba ushauri juu ya simba day 2021 natalia niende na mwanagu

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Nina mtoto kamaliza darasa la saba mwaka huu,anatamani sana kuhudhuria na kushuhudia simba day,
Nina uwezo wa kulipua tiketi za 30000 .
Lakini high yangu ni sijui kama utaratibu wa nafasi za kukaa ukoje?
Je tiketi zina namba kama za kwenye sinema?
Je hakutakua na vurugu,usumbufu?
Je tunaweza kupata tiketi na tukakosa nafasi za kukaa kama tukichelewa kufika?
Je tukiwa na tiketi tayari ni lazima kufika asubuhi Sana?
Ushauri tafadhari Wana simba WENZANGU.
 
Mod naomba masada kusahihisha kichwa cha habari.
Nilikusudia kuandika natarajia kwenda na mwanagu,imetokea natalia kwenda na mwanagu.
 
Mod naomba masada kusahihisha kichwa cha habari.
Nilikusudia kuandika natarajia kwenda na mwanagu,imetokea natalia kwenda na mwanagu.
Ana umri gani? Kwanini usimuache afuatilie kwenye TV
 
[emoji23][emoji23] mwanagu ndio nini ?? ..
Da huamini kama kuna typing error,hata hivyo mbona imeeleweka tuu.
Unajua hizi simu sometimes zinaskip baadhi ya herufi unapoandika?
Nafikiri ungenipa ushauri nilioomba ingependeza zaidi.
 
Mi nafikiri ungeenda mwenyewe kwanza ukishazoea mazingira ndo uende naye mwenyewe
 
Nina mtoto kamaliza darasa la saba mwaka huu,anatamani sana kuhudhuria na kushuhudia simba day,
Nina uwezo wa kulipua tiketi za 30000 .
Lakini high yangu ni sijui kama utaratibu wa nafasi za kukaa ukoje?
Je tiketi zina namba kama za kwenye sinema?
Je hakutakua na vurugu,usumbufu?
Je tunaweza kupata tiketi na tukakosa nafasi za kukaa kama tukichelewa kufika?
Je tukiwa na tiketi tayari ni lazima kufika asubuhi Sana?
Ushauri tafadhari Wana simba WENZANGU.
Hiyo siyo Simba day ni MO day,
Kama alizindua makatuni akaziita marafiki wa MO ,na si Marafiki wa Simba.
 
Nimeenda kwenye derby mara kadhaa hata watoto wa miaka 5 tena kwenye mzunguko .Hakuna vurugu usimwache mtoto akutoroke kaa naye kwa uaangalifu na usimvalishe jezi za njano ,kaa kwenye jukwaa la Simba mkiwa mmevaa jezi zaa Simba au rangi yoyote isipokuwa njano au kijani.

Wanaoletewa vurugu ni wale wanaovaa jezi ya wapinzani halafu wanaenda kukaa jukwaa tofauti. Ila kwa vile ni Simba day bila shaka hamna vurugu maana Simba tu ndo wengi.
 
Da huamini kama kuna typing error,hata hivyo mbona imeeleweka tuu.
Unajua hizi simu sometimes zinaskip baadhi ya herufi unapoandika?
Nafikiri ungenipa ushauri nilioomba ingependeza zaidi.
Nenda peke yako, sio vizuri kwenda kwenye mikusanyiko na watoto ..
 
Nenda nae tu, watu watakuwa wachache hivyo nafasi kama zote zipo.
 
Mi nakushauri nenda mwenyewe tu, bora kangekua kakubwa hata miaka 16 hivi, baadhi ya vitoto vikipotea hata kurudi home haviwezi.

Kunaweza kusiwe na vurugu lakini sehemu za mikusanyiko namna hiyo tena ambayo huna expirience nayo sio vyema kwenda na mtoto.
 
Mi nafikiri ungeenda mwenyewe kwanza ukishazoea mazingira ndo uende naye mwenyewe
Nimeshaenda uwanja wa mkapa Mara mbili peke yangu,
mara moja taifa stars na wageni.
Sasa natamani kwenda simba day na dogo.
Nina wasiwasi uwanja huenda ukajaa sana.ndio msingi wa hofu
 
Mi nakushauri nenda mwenyewe tu, bora kangekua kakubwa hata miaka 16 hivi, baadhi ya vitoto vikipotea hata kurudi home haviwezi.

Kunaweza kusiwe na vurugu lakini sehemu za mikusanyiko namna hiyo tena ambayo huna expirience nayo sio vyema kwenda na mtoto.
Nina experience ya kwenda alone ila mtoto anatamani kutoka out kwa sababu ni kama tamasha,sijawahi kwenda na mtoto,Yuko 12 yrs na ni muelewa tu.
Ila nafikiria ushauri wako
 
Nimeenda kwenye derby mara kadhaa hata watoto wa miaka 5 tena kwenye mzunguko .Hakuna vurugu usimwache mtoto akutoroke kaa naye kwa uaangalifu na usimvalishe jezi za njano ,kaa kwenye jukwaa la Simba mkiwa mmevaa jezi zaa Simba au rangi yoyote isipokuwa njano au kijani.

Wanaoletewa vurugu ni wale wanaovaa jezi ya wapinzani halafu wanaenda kukaa jukwaa tofauti. Ila kwa vile ni Simba day bila shaka hamna vurugu maana Simba tu ndo wengi.
Asante Sana viol.
Of course mimi ni simba na dogo ni simba ni 12 yrs old,anagram ya kwenda uwanja wa mkapa hajawahi ends,mimi nishaenda hii uwanja mara mbili,sasa sijawahi enda na mtoto natalia kujua kwa watu wenye experience.
Sijawahi kuhudhuria tamasha la simba day ndo nauliza sasa.
Asante.
 
Back
Top Bottom