Asante mpenzi mwenyezi Mungu anivushe salama maana nabakia kulia tu, bora haya maji yakate kabisa sitamani kupoteza hichi kiumbe na hii hali inaniumiza mno sahivi nipo bed rest piaDah pole sna epuka kazi yoyote kwa sasa hiv yan hata sex stop kabisa "bed rest" .....yan ww ulale ukiamka n kula na kwenda haja tu ,,usipande boda boda wala kufanya mazoez yoyote yale Mungu akuvushe salama staki kukumbuka yalonisibu
Asante mpenzi mwenyezi Mungu anivushe salama maana nabakia kulia tu, bora haya maji yakate kabisa sitaman kupoteza hichi kiumbe na hii hali inaniumiza mno...sahv nipo bed rest pia
Sawa, kuna baadhi ya maswali inatakiwa uyajibu ili kujiridhisha kuwa ni kweli mfuko mtoto umetoboka( preterm premture rupture of membrane or PPROM) na kusababisha hali hiyo, hii itaendana sambamba na uchunguzi kwa Speculum. Katika wiki ya 18 bado ni mapema sana, inawezekana kufika mwisho japo kuna risks nyingi.Wa kwanza mpendwa
Asante my nitajitaidiPole mpenzi Mungu akutie nguvu katika shida hii.
Punguza mawazo/ stress, jaribu kuwa bize na kusomasoma vitu kaa vitabu au hata story mitandaoni, mana najua hufanyi kazi so muda mwingi unakua umekaa or kulala. Hii itakusaidia kutowaza sana hii ni hatari pia kwa mtoto
Mawazo ,stress n mbaya mno + lishe mbovu +maradhi mfano UTI n.k hakikisha unakunywa maji ya kutosha na chakula kwa mpangilioAsante mpenzi mwenyezi Mungu anivushe salama maana nabakia kulia tu, bora haya maji yakate kabisa sitaman kupoteza hichi kiumbe na hii hali inaniumiza mno...sahv nipo bed rest pia