fettydia
Senior Member
- Aug 31, 2016
- 116
- 81
Habari wana bodi nina ujauzito wa wiki 18 ila kwa bahati mbaya ijumaa nikaona maji yananitoka ukeni, ambapo clinic niliambiwa na kiashiria kibaya nikaletwa hospitali nimelazwa tangu siku hiyo.
Baada ya vipimo imeonekana maji yamepungua kwa mtoto ila yupo salama na mbaya zaidi sahivi nikienda haja ndogo inatoka na vidamu vyepesi au nikiwa nimelala naona kama bado yanatoka nifanye nini ili niweze kumnusuru mwanangu?
Baada ya vipimo imeonekana maji yamepungua kwa mtoto ila yupo salama na mbaya zaidi sahivi nikienda haja ndogo inatoka na vidamu vyepesi au nikiwa nimelala naona kama bado yanatoka nifanye nini ili niweze kumnusuru mwanangu?