Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,490
- 2,965
Jaman wana jf naomben sana ushaur wenu kati ya hizo kombination mbili ipi n bora ambayo mnanishauri nikaisome a-level.Katka kuchagua nilianza na egm lakn bado na wasiwas wa kusoma kombi hyo naomba sana ushaur wenu wakuu.
Kasome CBG NDIO MPANGO MZIMA. EGM POTEZEA
Pcm cjui pcb hayo ckushauri yatakupotezea muda na ni VIGUMU SANA KUFAULU TRUST ME
EGM is good...ila ujiandae na Advanced Maths,SIO YA KITOTO
Soma egm kama kweli hesabu hauna uvivu nayo... Wawez kusoma cbg lakn jitaidi bam uisome kwa juhudi itakusaidia hapo mble ukitak kujaz kwnd chuo.... Pcm cjui pcb hayo ckushauri yatakupotezea muda na ni VIGUMU SANA KUFAULU TRUST ME
Ulipataje hesabu A Level?(sizungumzii BAM hapa)...simtishi but advanced maths usiichukulie poa kabisa..me nlipata karai langu na o level nlikuwa na Awala usimtishe hamna somo rahisi kama pure maths... japo naungana na wewe kwamba EGM is good!
hongera sana....na hapo uli prove kwamba hakuna relation kati ya olevo na a-levo!!! si ya kuchukulia poa...ila sio ya kuogopa pia!!!Ulipataje hesabu A Level?(sizungumzii BAM hapa)...simtishi but advanced maths usiichukulie poa kabisa..me nlipata karai langu na o level nlikuwa na A