mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,292
- 798
Hahaha yani wewe una mshauri mtu ambaye anasoma bam atumie vitabu vya pure maths,nahisi haujui nini maana ya biologia na kemia
jamaa wangu alikuw anafany hvyo na sasa nasoma nae building economics imejaa mahesabu na mechanics kibao kama hauna idea y pure umekufaa., ila jamaa anajitaidi kwli sisemi asome pure ila kwa topic hzo za bam co mbya arefae some pure questions n concepts