mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,292
- 798
Hahaha yani wewe una mshauri mtu ambaye anasoma bam atumie vitabu vya pure maths,nahisi haujui nini maana ya biologia na kemia
CBG ndo maisha dogo
nimepga cbg, i'm AFO.
Soma egm kama kweli hesabu hauna uvivu nayo... Wawez kusoma cbg lakn jitaidi bam uisome kwa juhudi itakusaidia hapo mble ukitak kujaz kwnd chuo.... Pcm cjui pcb hayo ckushauri yatakupotezea muda na ni VIGUMU SANA KUFAULU TRUST ME
MD lazima physics. geography haikai