sky walker
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 1,160
- 831
hebu fanyeni kutaja na bei kwanza tujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini usiagize Japan? Usinunue Tanzaniakwa hapa bongo wapi wana ongoza kuuza BMW
Hii ni F Series bei yake imechangamka. Andaa Mil 70 hivi hadi mkononi.hiii ni kama tsh ngapi hivi
Kuna bmw moja hivi e38 7series 740i au 750i ni mwisho wa mchezo.Japo ya kitambo kido kwenye 2004.Ni executive car mfano ni kwenye ile movie ya transporter 1.Hebu vuta BMW ujenge heshima town,haijalisha litakula mafuta vipi we nunua tu
Kuna bmw moja hivi e38 7series 740i au 750i ni mwisho wa mchezo.Japo ya kitambo kido kwenye 2004.Ni executive car mfano ni kwenye ile movie ya transporter 1.
7-series ni kwikwi labda ukaweke gesi ya DITVuta chuma bmw 750LI model hata ya 2005,chuma kina Luxury zote+Hp 370.
Shida ya 7-series ni reliability tu.
7-series ni kwikwi labda ukaweke gesi ya DIT
Yes linakua la kupark hom tuHahah ukiona noma unalitembelea kwny special events tu.
Cha ajabu kuna mtu noilimwona Dodoma na BMW M3 E90 pia jana nimeona 535i...truth be told,magari yote ya ulaya kabla ya 2012 hayana ubora wa kudumu kabisa kwasababu walikua wanakimbizana na Lexus technologies ambao waliweka vitu vingi sana kwnye magari yao mwanzoni mwa 2000's. Kuna jamaa anadai rafiki yake ana Lexus GS300 imeshavuka km 1,000,000 kwenye odometer na kuanza upya lakini haisumbui kabisa. Nakushauri uchukue Subaru BMW, Benz, na mwengine waachie wenyewe ila exception ni Range Rover. Model za 2012 na kuendelea wanadai ziko reliable sana kiasi cha kupewa nyota 9 kati ya 10