izzo
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 2,812
- 6,409
Katika magari ambayo mjapani kayatengeneza aina ya sedani yenye comfortability yenye wazifa wa magari ya ulaya ni Toyota Crown mengine ni kawaida tu labda yale yanayouzwa Ulaya na Marekani kwani mjapani anatengeza magari kwa ajiri ya masoko ya Ulaya na Marekani lakini majina yanatofautiana na majina ya huku lakini muonekeno wa gari ni sawa sawa
BMW 3 series na Subaru legacy b 4
FUEL CONSAMPTION
Magari mengi ya ulaya ulaji wake wa mafuta ni mdogo sana ila yanatumia umeme ktk ops zake nying tofauti na magari ya japani so ktk swala la mafuta BMW ni best kwani
BMW kama gari aina tatizo lolote ktk mfumo wa mafuta ni 15 km/1 liter na full tank yake ni 57 liter so unaweza kwenda Km 855 kwa full tank
Subaru legacy b 4 kama aina tatizo ktk mfumo wa mafuta ni 8.9 Km/1 liter na full tank yake ni 64 titer so unaweza kwenda Km 569.6 kwa full tank
So umeona matumizi ya mafuta BMW 3 series is the best
SPEED
bmw
Transmision =6 speed outo
Horsepower @ RPM = 215@6250
Torque @ RPM = 2750
0-60 time = 6.7 sec
subaru legacy b 4
Transmision= 6 speed outo or manual
Horsepower @ RPM = 243@6000
Torque @ RPM =3600
0-60 time= 4.5 sec
Note RPM ni revolutions per minute inapatikana kwenye dashbord na inakazi ya kuonyesha speed ya engine kwa dakika
So katika speed subaru legacy is best
SPARE PARTS
katika ulimwengu huu hofu ya kuogapa kununua gari kwa kuhofia spare ilishakwisha hofu iliyobaki ni kupata mafundi wazuri wa gari tu spare unaagiza leo baada ya siku 3 au 4 umeshaipata
KUDUMU
kudumu kwa gari inategemea utunzaji na matumizi yako pia barabara unazotumia pia na uendeshaji kwani nimegundua Tanganyika madereva ni wachache sana ila waendeshaji wa magari wapo wengi unaweza jiuliza watu wanaagiza gari za mpaka miaka ya 1990 japani au Ulaya lakini zinaonekana mpya ikifika huku ndo zinachakaa pia hali ya hewa Africa inatuangusha sana gari aipatani na joto
KUTULIA BARABARANI
kuna kutulia barabarani kwa aina mbili
1 Stability ya gari
2 Maneuverability ya gari
BMW ikikimbia na kufika speed kuanzia 100 inashuka chini na ni kama ilivyo benz na unaruhusiwa kukata kona kali hata ukiwa na top speed ya 80Kmh
Subaru inakimbia sana lakini ipo kama Toyota Altezza na unaruhusiwa kukata kona kali hata ukiwa top speed ya 50 kmh zaidi ya hapo do @ your own risk
BMW 3 series na Subaru legacy b 4
FUEL CONSAMPTION
Magari mengi ya ulaya ulaji wake wa mafuta ni mdogo sana ila yanatumia umeme ktk ops zake nying tofauti na magari ya japani so ktk swala la mafuta BMW ni best kwani
BMW kama gari aina tatizo lolote ktk mfumo wa mafuta ni 15 km/1 liter na full tank yake ni 57 liter so unaweza kwenda Km 855 kwa full tank
Subaru legacy b 4 kama aina tatizo ktk mfumo wa mafuta ni 8.9 Km/1 liter na full tank yake ni 64 titer so unaweza kwenda Km 569.6 kwa full tank
So umeona matumizi ya mafuta BMW 3 series is the best
SPEED
bmw
Transmision =6 speed outo
Horsepower @ RPM = 215@6250
Torque @ RPM = 2750
0-60 time = 6.7 sec
subaru legacy b 4
Transmision= 6 speed outo or manual
Horsepower @ RPM = 243@6000
Torque @ RPM =3600
0-60 time= 4.5 sec
Note RPM ni revolutions per minute inapatikana kwenye dashbord na inakazi ya kuonyesha speed ya engine kwa dakika
So katika speed subaru legacy is best
SPARE PARTS
katika ulimwengu huu hofu ya kuogapa kununua gari kwa kuhofia spare ilishakwisha hofu iliyobaki ni kupata mafundi wazuri wa gari tu spare unaagiza leo baada ya siku 3 au 4 umeshaipata
KUDUMU
kudumu kwa gari inategemea utunzaji na matumizi yako pia barabara unazotumia pia na uendeshaji kwani nimegundua Tanganyika madereva ni wachache sana ila waendeshaji wa magari wapo wengi unaweza jiuliza watu wanaagiza gari za mpaka miaka ya 1990 japani au Ulaya lakini zinaonekana mpya ikifika huku ndo zinachakaa pia hali ya hewa Africa inatuangusha sana gari aipatani na joto
KUTULIA BARABARANI
kuna kutulia barabarani kwa aina mbili
1 Stability ya gari
2 Maneuverability ya gari
BMW ikikimbia na kufika speed kuanzia 100 inashuka chini na ni kama ilivyo benz na unaruhusiwa kukata kona kali hata ukiwa na top speed ya 80Kmh
Subaru inakimbia sana lakini ipo kama Toyota Altezza na unaruhusiwa kukata kona kali hata ukiwa top speed ya 50 kmh zaidi ya hapo do @ your own risk