Naomba Ushauri: Kati ya BMW 3 Series 2006 model na Subaru Legacy B4 Sports 2006 model

Naomba Ushauri: Kati ya BMW 3 Series 2006 model na Subaru Legacy B4 Sports 2006 model

Katika magari ambayo mjapani kayatengeneza aina ya sedani yenye comfortability yenye wazifa wa magari ya ulaya ni Toyota Crown mengine ni kawaida tu labda yale yanayouzwa Ulaya na Marekani kwani mjapani anatengeza magari kwa ajiri ya masoko ya Ulaya na Marekani lakini majina yanatofautiana na majina ya huku lakini muonekeno wa gari ni sawa sawa

BMW 3 series na Subaru legacy b 4

FUEL CONSAMPTION

Magari mengi ya ulaya ulaji wake wa mafuta ni mdogo sana ila yanatumia umeme ktk ops zake nying tofauti na magari ya japani so ktk swala la mafuta BMW ni best kwani
BMW kama gari aina tatizo lolote ktk mfumo wa mafuta ni 15 km/1 liter na full tank yake ni 57 liter so unaweza kwenda Km 855 kwa full tank

Subaru legacy b 4 kama aina tatizo ktk mfumo wa mafuta ni 8.9 Km/1 liter na full tank yake ni 64 titer so unaweza kwenda Km 569.6 kwa full tank

So umeona matumizi ya mafuta BMW 3 series is the best


SPEED
bmw
Transmision =6 speed outo
Horsepower @ RPM = 215@6250
Torque @ RPM = 2750
0-60 time = 6.7 sec

subaru legacy b 4
Transmision= 6 speed outo or manual
Horsepower @ RPM = 243@6000
Torque @ RPM =3600
0-60 time= 4.5 sec

Note RPM ni revolutions per minute inapatikana kwenye dashbord na inakazi ya kuonyesha speed ya engine kwa dakika

So katika speed subaru legacy is best


SPARE PARTS
katika ulimwengu huu hofu ya kuogapa kununua gari kwa kuhofia spare ilishakwisha hofu iliyobaki ni kupata mafundi wazuri wa gari tu spare unaagiza leo baada ya siku 3 au 4 umeshaipata

KUDUMU

kudumu kwa gari inategemea utunzaji na matumizi yako pia barabara unazotumia pia na uendeshaji kwani nimegundua Tanganyika madereva ni wachache sana ila waendeshaji wa magari wapo wengi unaweza jiuliza watu wanaagiza gari za mpaka miaka ya 1990 japani au Ulaya lakini zinaonekana mpya ikifika huku ndo zinachakaa pia hali ya hewa Africa inatuangusha sana gari aipatani na joto


KUTULIA BARABARANI
kuna kutulia barabarani kwa aina mbili
1 Stability ya gari
2 Maneuverability ya gari

BMW ikikimbia na kufika speed kuanzia 100 inashuka chini na ni kama ilivyo benz na unaruhusiwa kukata kona kali hata ukiwa na top speed ya 80Kmh

Subaru inakimbia sana lakini ipo kama Toyota Altezza na unaruhusiwa kukata kona kali hata ukiwa top speed ya 50 kmh zaidi ya hapo do @ your own risk
 
Nunua BMW tu kama una pesa za service na spare parts,,. Nina experience na vw aisee siwezi kumshauri mtu anunue. It's the worse car kuwahi kuimiliki manake taa ya check engine ilikua inawaka kila wiki na gari inashinda garage kuliko home. Usiombe DSG transmission ianze kusumbua, hainaga fix ni msiba. Kwa mtu anaetaka kununua vw beware,,.
 
Nunua BMW tu kama una pesa za service na spare parts,,. Nina experience na vw aisee siwezi kumshauri mtu anunue. It's the worse car kuwahi kuimiliki manake taa ya check engine ilikua inawaka kila wiki na gari inashinda garage kuliko home. Usiombe DSG transmission ianze kusumbua, hainaga fix ni msiba. Kwa mtu anaetaka kununua vw beware,,.
Hahahahah....imenikumbusha 5 series yangu, it was the worst car I had never owned
 
Katika magari ambayo mjapani kayatengeneza aina ya sedani yenye comfortability yenye wazifa wa magari ya ulaya ni Toyota Crown mengine ni kawaida tu labda yale yanayouzwa Ulaya na Marekani kwani mjapani anatengeza magari kwa ajiri ya masoko ya Ulaya na Marekani lakini majina yanatofautiana na majina ya huku lakini muonekeno wa gari ni sawa sawa

BMW 3 series na Subaru legacy b 4

Fuel consampition
Magari mengi ya ulaya ulaji wake wa mafuta ni mdogo sana ila yanatumia umeme ktk ops zake nying tofauti na magari ya japani so ktk swala la mafuta BMW ni best kwani
BMW kama gari aina tatizo lolote ktk mfumo wa mafuta ni 15 km/1 liter na full tank yake ni 57 liter so unaweza kwenda Km 855 kwa full tank

Subaru legacy b 4 kama aina tatizo ktk mfumo wa mafuta ni 8.9 Km/1 liter na full tank yake ni 64 titer so unaweza kwenda Km 569.6 kwa full tank

So umeona matumizi ya mafuta BMW 3 series is the best

SPEED
bmw
Transmision =6 speed outo
Horsepower @ RPM = 215@6250
Torque @ RPM = 2750
0-60 time = 6.7 sec

subaru legacy b 4
Transmision= 6 speed outo or manual
Horsepower @ RPM = 243@6000
Torque @ RPM =3600
0-60 time= 4.5 sec

Note RPM ni revolutions per minute inapatikana kwenye dashbord na inakazi ya kuonyesha speed ya engine kwa dakika

So katika speed subaru legacy is best

SPARE PARTS
katika ulimwengu huu hofu ya kuogapa kununua gari kwa kuhofia spare ilishakwisha hofu iliyobaki ni kupata mafundi wazuri wa gari tu spare unaagiza leo baada ya siku 3 au 4 umeshaipata

KUDUMU
kudumu kwa gari inategemea utunzaji na matumizi yako pia barabara unazotumia pia na uendeshaji kwani nimegundua Tanganyika madereva ni wachache sana ila waendeshaji wa magari wapo wengi unaweza jiuliza watu wanaagiza gari za mpaka miaka ya 1990 japani au Ulaya lakini zinaonekana mpya ikifika huku ndo zinachakaa pia hali ya hewa Africa inatuangusha sana gari aipatani na joto
KUTULIA BARABARANI
kuna kutulia barabarani kwa aina mbili
1 Stability ya gari
2 Maneuverability ya gari

BMW ikikimbia na kufika speed kuanzia 100 inashuka chini na ni kama ilivyo benz na unaruhusiwa kukata kona kali hata ukiwa na top speed ya 80Kmh

Subaru inakimbia sana lakini ipo kama Toyota Altezza na unaruhusiwa kukata kona kali hata ukiwa top speed ya 50 kmh zaidi ya hapo do @ your own risk

Mkuu asante sana. Umefanya analysis nzuri sana. Natamani ungemalizia kwa kusema ipi ni bora based on your analysis.
 
NKuna kitu n
Nunua BMW tu kama una pesa za service na spare parts,,. Nina experience na vw aisee siwezi kumshauri mtu anunue. It's the worse car kuwahi kuimiliki manake taa ya check engine ilikua inawaka kila wiki na gari inashinda garage kuliko home. Usiombe DSG transmission ianze kusumbua, hainaga fix ni msiba. Kwa mtu anaetaka kununua vw beware,,.
Kuna kitu naanza kujifunza, inaoneka European cars kwa mazingira yetu si rafiki au pia hatuna mafundi wazuri!!
 
Mkuu nilisoma review za waingereza wanasema mbali na jina kubwa la bmw ila kwa sifa nyingi pamoja na gharama subaru ni best.

Ni best kama atakuwa na pesa ya kunulia nyanya gengeni. Kama yuko vizuri BMW ni nzuri gari ya heshima
 
NKuna kitu n

Kuna kitu naanza kujifunza, inaoneka European cars kwa mazingira yetu si rafiki au pia hatuna mafundi wazuri!!
Ishu ya reliability sio Africa tu hadi huko zinakotoka kuna gari ni ugonjwa wa moyo mkuu. Vw group (audi, vw, seat,), Mercedes Benz, Vauxhall(opel), General motors(GM) gari zao ni majanga kwa sababu customer complain ni nyingi sana hasa za matatizo yanayo fanana kutokana na products zao.

Ukipita kwenye vw forums Google wengi wanalalamika sana kuhusu DSG transmission (gearbox). Zinazingua sana kuanzia km 80000 na kuendelea. Mercedes Benz umeme na pia tatizo dogo tu linaweza fanya gari isitembee. Check hata YouTube matatizo ambayo wamiliki wengi wana matatizo yanayo fanana ikionyesha kwamba tatizo ni la manufacturers. Most reliable cars kwa mwaka jana ni

1. lexus
2. Toyota
3. Kia
4. Hyundai
 
Ishu ya reliability sio Africa tu hadi huko zinakotoka kuna gari ni ugonjwa wa moyo mkuu. Vw group (audi, vw, seat,), Mercedes Benz, Vauxhall(opel), General motors(GM) gari zao ni majanga kwa sababu customer complain ni nyingi sana hasa za matatizo yanayo fanana kutokana na products zao.

Ukipita kwenye vw forums Google wengi wanalalamika sana kuhusu DSG transmission (gearbox). Zinazingua sana kuanzia km 80000 na kuendelea. Mercedes Benz umeme na pia tatizo dogo tu linaweza fanya gari isitembee. Check hata YouTube matatizo ambayo wamiliki wengi wana matatizo yanayo fanana ikionyesha kwamba tatizo ni la manufacturers. Most reliable cars kwa mwaka jana ni

1. lexus
2. Toyota
3. Kia
4. Hyundai
You're well informed rafiki, shida ya haya magari ya ulaya na America, yanalalamikiwa sio tu Africa bali hata huko ulaya na America. Basically it's cheap to maintain these money machines in Africa than in Europe and America
 
Mkuu mimi nipe tu kazi ya clearance bandarini ukishafanya chaguzi zako
 
Mkuu asante sana. Umefanya analysis nzuri sana. Natamani ungemalizia kwa kusema ipi ni bora based on your analysis.
Ni vitu 3 ndivyo vinavyowafanya binadamu kuamua ktk manunuzi au machaguo yao ya vitu
1 Brand name
2 Models
3 Performance

Brand name kigezo kikubwa cha kuuza bidhaa au kitu ni brand name yake hii ndio inayoongoza kwa kuuza bidhaa mfano kwenye nguo,simu,viatu,etc kwenye magari watu wengi wananunua magari kwa kufata brand names mfano Tanganyika brand name tunayonunua sana ni TOYOTA mtu akinunua toyota anaona kama spare zitapatikana kwa wepesi sana kumbe sio ni mazoea tu na kwa kenya ni NISSAN

Models hii ndio kigezo cha pili cha kuuza bidhaa au kitu watu wananunua vitu sana kutokana na model ya hyo bidhaa mfano ww umechagua subaru legacy B 4 na BMW 3 series za mwaka 2006 japo zipo subaru na bmw nyingi na za model mbalimbali

Performance hii ni hatua ya tatu ktk ununuzi au kuuza kwa bidhaa au kitu hii mala nying waafrica hatuijali sana lakini kwa wenzetu wanaijali sana mfano leo unataka kununua kitu kwa matumizi gani na matumizi yako yataitaji Performance gani ya hyo ndo maana kwenye gari kuna aina ya Performance kwa matumizi yake

Sasa inategemea kwa ww unaangalia nini ktk kununua magari hayo
1 brand name kwa maswala ya BN BMW is best
2 Model zote ni sawa kwani zote ni sedan na mwaka 2006 So hapo ni 50/50

3 Performance sasa inategemeana unataka Performance ya upande gani
A Stability & Maneuverability BMW is best
B speed Subaru is best

the choice is urs
 
Ni vitu 3 ndivyo vinavyowafanya binadamu kuamua ktk manunuzi au machaguo yao ya vitu
1 Brand name
2 Models
3 Performance

Brand name kigezo kikubwa cha kuuza bidhaa au kitu ni brand name yake hii ndio inayoongoza kwa kuuza bidhaa mfano kwenye nguo,simu,viatu,etc kwenye magari watu wengi wananunua magari kwa kufata brand names mfano Tanganyika brand name tunayonunua sana ni TOYOTA mtu akinunua toyota anaona kama spare zitapatikana kwa wepesi sana kumbe sio ni mazoea tu na kwa kenya ni NISSAN

Models hii ndio kigezo cha pili cha kuuza bidhaa au kitu watu wananunua vitu sana kutokana na model ya hyo bidhaa mfano ww umechagua subaru legacy B 4 na BMW 3 series za mwaka 2006 japo zipo subaru na bmw nyingi na za model mbalimbali

Performance hii ni hatua ya tatu ktk ununuzi au kuuza kwa bidhaa au kitu hii mala nying waafrica hatuijali sana lakini kwa wenzetu wanaijali sana mfano leo unataka kununua kitu kwa matumizi gani na matumizi yako yataitaji Performance gani ya hyo ndo maana kwenye gari kuna aina ya Performance kwa matumizi yake

Sasa inategemea kwa ww unaangalia nini ktk kununua magari hayo
1 brand name kwa maswala ya BN BMW is best
2 Model zote ni sawa kwani zote ni sedan na mwaka 2006 So hapo ni 50/50

3 Performance sasa inategemeana unataka Performance ya upande gani
A Stability & Maneuverability BMW is best
B speed Subaru is best

the choice is urs

Nashukuru sana mkuu!

Nadhani nimefika position ya kufanya maamuzi na mm nachagua subaru.

1.Kwa nimeshawahi kuwa na gari yenye jina kubwa na heshima mtaani lakini ilikuwa inanibana na usumbufu mwingi ktk matumizi.

2. Napenda safari za mikoani hasa na familia, japo nipo na gari nyingine naona hii itakuwa kama ya kuitunza nyumbani na safari chache so BMW haitanifaa.

3. Ninapenda kukimbia na gari. Japo BM inakimbia sana lakini kuchukua risk ya kutengeneza gari kwa gharama kubwa usawa huu ni hatari.

4. Kuna mdau kasema subaru ipo vzr hata off road so hii nimeipenda zaidi.

5. Kuna mdau kasema spea BM ni ghali kdg bora nichukue Subaru.

Aksanteni nyote!
 
Hebu vuta BMW ujenge heshima town,haijalisha litakula mafuta vipi we nunua tu
 
Top ten Mercedes Benz myth, check hiyo video,,.
 
Back
Top Bottom