Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona bei imesimama hivyo mkuu while za zamani sana?Eti Rav4 Massawe. Nadhani unamaanisha 97/98. Hizo ni 18M.
Nimeicheki ni gari nzuri sana, vipi kuhusu spear Mkuu.Hiyo pesa unaweza kupata Volvo XC90 ya mwaka 2007 au 2008 kabisa! Hapo unakuwa umeweka mkataba. Achana na mazoea ya gari za Kijapani.
Rav 4 New ModelNunua Rav4
Kulinunua inategemea na unataka la namba gani ila kama bei yapo mpaka ya M16. Ila kama ni new model andaa kuanzia 35 na kuendelea mkuu.Kuhusu mafuta sio tatizo. Suala ni je hiyo bajeti niliyotenga itaniwezesha kulinunua?
Wakuu, nimejipanga kwa muda wa kutosha na sasa naona naweza kujipatia usafiri wangu wa kueleweka. Kuna gari hizi mbili zote nazipenda sana. Naomba kushauriwa na wenye uzoefu na uelewa mkubwa wa hizi gari mbili ni ipi wanaona ni nzuri zaidi? Suala la mafuta sio tatizo, lakini uimara wa gari na hadhi ya gari na gharama ya gari. Nimetenga bajeti ya milioni ishirini na tano mpaka thelathini kwa mchakato wote.
Karibuni tushauriane.
Mbona bei imesimama hivyo mkuu while za zamani sana?
Spears siku hizi zipo, usiogope.Nimeicheki ni gari nzuri sana, vipi kuhusu spear Mkuu.
Asante kwa ushauri! Hivi kati ya gari hizi ipi ni ya ghali zaidi?Mkuu nunua Harrier, vvTi 4cylinder ni nzuri kuliko Kluger.pia inastahimili safari ya mbali.
Sasa hiyo Commodore haifahamiki hata mafundi hawaifahamu labda jaribu kuielezea zaidi.Wabongo bwana, unataka kuongeza uniform mjini? Yaani kila
sehemu Harrier au IST. Be different chukuaCommodore V6