Naomba ushauri kati ya kozi hizo

Naomba ushauri kati ya kozi hizo

Munneh

New Member
Joined
Sep 6, 2024
Posts
1
Reaction score
1
Habari wakuu, kwa heshma kubwa naomba, nahitaji muongozo wenu. Nimepata

1: Bachelor of Arts in Economics
-Ardhi university
2: Bachelor of Economics and finance
-IFM
Nilisoma HGE ufaulu wangu ni 1.8
(History B, Geography C, Economics C,Bam D)
Naomba ushauri wenu wakubwa zangu nichukue ipi itakuwa bora zaid. Nahitaji kuconfirm chuo kwa sasa hivyo muongozo wenu nahitaji wakhttps://www.jamiiforums.com/forums/-/create-threadubwa zangu nipo njia panda. Natarajia majibu ya kisomi zaidi kutoka kwenu naomba sana
 
Habari wakuu, kwa heshma kubwa naomba, nahitaji muongozo wenu. Nimepata
1: Bachelor of Arts in Economics
-Ardhi university
2: Bachelor of Economics and finance
-IFM
Nilisoma HGE ufaulu wangu ni 1.8
(History B, Geography C, Economics C,Bam D)
Naomba ushauri wenu wakubwa zangu nichukue ipi itakuwa bora zaid. Nahitaji kuconfirm chuo kwa sasa hivyo muongozo wenu nahitaji wakhttps://www.jamiiforums.com/forums/-/create-threadubwa zangu nipo njia panda. Natarajia majibu ya kisomi zaidi kutoka kwenu naomba sana
Sina uelewa sana na hizo course lkn kunawezako wana case kama yako kuna thread waliomba msaada na wengi waliwashaur hiyo ya IFM jarib kuzipitia pia.
 
Back
Top Bottom