Kufungua kesi utahitaji kudhibitisha mambo yafuatayo:-
* Kwamba aliyekuuzia ni mtengenezaji au wakala wake.
* Kwamba bidhaa uliyonunua hungeweza na mtu yoyote kama wewe hangeweza kugundua hitilaft hiyo ila mtengenezaji au wakala TU.
* Kwamba kutokana na kutumia bidhaa hiyo umepata madhara yanayoonekana na kupimika
* kwamba Madhara hayo yanatafakarika kwa uelewa wa mtengenezaji.