Kufungua kesi utahitaji kudhibitisha mambo yafuatayo:-
* Kwamba aliyekuuzia ni mtengenezaji au wakala wake.
* Kwamba bidhaa uliyonunua hungeweza na mtu yoyote kama wewe hangeweza kugundua hitilaft hiyo ila mtengenezaji au wakala TU.
* Kwamba kutokana na kutumia bidhaa hiyo umepata madhara yanayoonekana na kupimika
* kwamba Madhara hayo yanatafakarika kwa uelewa wa mtengenezaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.