Obed maagi
Member
- May 24, 2024
- 19
- 34
Nijumuishe kwenye group +255 748 001 3500752 742 617, ELLYFARM Mwenyekiti wa wafuga Nguruwe. atakusaidia sana ktk elimu juu ya ufugaji Nguruwe, barikiwa sana ktk wazo lako. Ukipenda na group atakujumlisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nijumuishe kwenye group +255 748 001 3500752 742 617, ELLYFARM Mwenyekiti wa wafuga Nguruwe. atakusaidia sana ktk elimu juu ya ufugaji Nguruwe, barikiwa sana ktk wazo lako. Ukipenda na group atakujumlisha.
Naomba uwasiliane na huyo mkuu atakujumlisha mimi sio admin mle.Nijumuishe kwenye group +255 748 001 350
Pole sana ndugu je ulijaribu kuwashirikisha maafisa ugani sehemu unayo fugia? ulijaribu kuangalia maeneo ya jirani unapofugia labda kuna wafugaji wenzako amabao maambukizo mnapokezana bila kufanyia utabibu wa eneo hilo? umejaribu kumuuliza vyema vet aliyekuwa anakuja shambani kukukagulia mifugo? Mtumainie Mungu atakuonyesha njia ya kupita ktk hilo.Mimi ni mfugaji ila nimepitia changamoto ya magonjwa mwaka 2022 na mwaka huu nilipoanza upya ufugaji nimepata hasara ya magonjwa, sasa nahitaji kujua njia sahihi ya kuepuka haya magonjwa cos baada ya mwaka 2022 kupitia changamoto hiyo nilistisha hadi mwaka huu ndio nilianza kufuga na nimekutana na changamoto hile hile, ni jinsi gani ninaweza kusafisha banda ili nianze upya kwa muda huu, kuna dawa za kupulizaia na je ni mambo gani niepuke ili kuepuka changamoto ya magonjwa kwa wanyama hawa?