Mimi ni mfugaji ila nimepitia changamoto ya magonjwa mwaka 2022 na mwaka huu nilipoanza upya ufugaji nimepata hasara ya magonjwa, sasa nahitaji kujua njia sahihi ya kuepuka haya magonjwa cos baada ya mwaka 2022 kupitia changamoto hiyo nilistisha hadi mwaka huu ndio nilianza kufuga na nimekutana na changamoto hile hile, ni jinsi gani ninaweza kusafisha banda ili nianze upya kwa muda huu, kuna dawa za kupulizaia na je ni mambo gani niepuke ili kuepuka changamoto ya magonjwa kwa wanyama hawa?