Naomba Ushauri katika ufugaji wa nguruwe

0752 742 617, ELLYFARM Mwenyekiti wa wafuga Nguruwe. atakusaidia sana ktk elimu juu ya ufugaji Nguruwe, barikiwa sana ktk wazo lako. Ukipenda na group atakujumlisha.
Nijumuishe kwenye group +255 748 001 350
 
Pole sana ndugu je ulijaribu kuwashirikisha maafisa ugani sehemu unayo fugia? ulijaribu kuangalia maeneo ya jirani unapofugia labda kuna wafugaji wenzako amabao maambukizo mnapokezana bila kufanyia utabibu wa eneo hilo? umejaribu kumuuliza vyema vet aliyekuwa anakuja shambani kukukagulia mifugo? Mtumainie Mungu atakuonyesha njia ya kupita ktk hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…