heading za namna hii zinachosha sana
siku nyingne heading ibebe lengo la thred ili kumpa utayari msomaji
Wengine watakuja,lakini 5m ni nyingi sana kwa biashara hii.
Ningehsauri pia ufungue sehema hakuna ushindani napia tafuta fundi wa sim awepo hapo.
Unajua mafundi wa sim ndio wateja wako,sasa kama unavifaa na fundi yupo pale basi wateja watatumia duka lako na ku save muda wao wa kufuata kifaa mbali.
Lakini Bila fundi sehem yabiashara hiyo inakuwa ngum kiasi,maana mamboya mbisahara hii yanahitaji mtu mwenye uelewa kidogo mambo ya ufundi wa sim
Wengine watakuja,lakini 5m ni nyingi sana kwa biashara hii.
Ningehsauri pia ufungue sehema hakuna ushindani napia tafuta fundi wa sim awepo hapo.
Unajua mafundi wa sim ndio wateja wako,sasa kama unavifaa na fundi yupo pale basi wateja watatumia duka lako na ku save muda wao wa kufuata kifaa mbali.
Lakini Bila fundi sehem yabiashara hiyo inakuwa ngum kiasi,maana mamboya mbisahara hii yanahitaji mtu mwenye uelewa kidogo mambo ya ufundi wa sim