Naomba ushauri kuhusu Biashara ya Bajaji

Location wapi
 
Mkuu ur the outside watcher?
If yes je wewe umetafutwa kutoa ushauri?

Uo mradi wenu umekosa mikataba ambayo hipo strictly

So Ushauri wangu Fanyeni kikao Cha dharura kwanza
Kikao cha dharura hapa mwisho kimefamywa na mimi nilikuwepo, hizi hela za mikopo ya vijana. Nimecheka Sana hesabu zao hawa jamaa. Mimi nataka nifanye kitu genuine kwanza wamalize mkataba tuziuze tugawane hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…