Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

Kosa la kwanza ni kumuweka mbali na unapokaa..mimi sijaona kosa la huyo mwanamke,kumbuka nae ni binadamu sio roboti.Ana hisia kama wewe ulivyonazo,kitendo cha wewe kuwa nae mbali lazima aingie majaribuni.Ningemshutumu mwanamke kama angefanya hayo wakati mnaishi pamoja,ila kwa kukaa nae mbali hilo swala haliepukiki lazima aliwe tu.Ushauri wangu,kama kazi yako ni ya mbali na hakuna uwezekano wa kuishi nae karibu,kaa nae chini na Muongee.Mwambie tambua wewe ni mke wangu na mimi mumeo nakupenda sana ,hiki unachofqnya kinqniumiza sana,ila kwa sababu ya umbali wetu kuna wakati najua unashikwa na unakuwa hauna namna.Nakuomba chonde chonde iwapo itatokea hilo tumia kinga maana magonjwa ni mengi siku hizi ila sio kwa kusema hivi ndio uanze kujiachia ,hapana namaanisha ufanye kwa dharula tu pale unapozidiwa.Hii itasaidia kujiweka safe kati yenu maana hata usipomwambia hivyo utagongewa tu,bora umwambie na umpe tahadhari.
 
Hakuna namna unaeza pambana na changamoto kama hii isipokuwa kukubali kuwa huo ndio uhalisia wa maisha, pia kubali kuwa hauwezi kutoka kny hiyo ndoa ikiwa tayari mna watoto.
Na jukumu ulilo nalo kwa sasa nikujitransform kimtazamo (mindset) kutoka wewe wa zamani na kuwa wewe mkomavu.

Tafuta muda umuite, uongee nae au unaeza kumchartisha kwa watsap kishkaji like,
"Mke wangu, nimeona tuongee juu ya maisha yetu, la kwanza nimeona hapa swala si kukusamehe, bali kuongea mm na ww kwa pamoja tuone tunatoka wapi tunaenda na wapi."
"Jambo la msingi ni kwamba lazima sote tujue tayari tuna watoto ambao harakati zozote za maisha yetu ziwe positive au negative zinawaathiri moja kwa moja watoto wetu vivyo hivyo, ndio kusema hapa tungekuwa hatujazaa basi ilihitaji dakika chache kuachana kila mmoja wetu akashika lake"
"Lakini kwa vile tumeshazaa haiwezekani tena tukaachana, lazima tutafute njia ya kuondokana na sintofahamu iliyopo sasa na tuendelee kuwa positive baina yetu ili matunda yake yawe ni kuwalea vyema watoto wetu."
"Kwa kuanzia nashauri tusiongelee kabisa hiki kilichotokea, tuongelee tu hatima yetu, tujitafute tulipopoteana tujipate halafu maisha yaendelee"

Ishia hapo usiongeze neno tena bali muulize yeye ana maoni gani, kisha endelea kuchart nae kupitia maoni yake.

La kuzingatia:
Mwelekeo wa mazungumzo yenu yanaweza kuwa ya ufanisi sana ikiwa mtayafanya kwa kuchart kwa kuwa inakupa uwezo wa kufikiri kwa ndani na kuongea kutoka ndani kabisa pia itawasaidia kutafakari cha kusema hivyo kufanya mazungumzo yenu yawe ya ufanisi zaidi.
Pia shika usukani wa mazungumzo yenu yawe ya kutengeneza bond na si kutengeneza tension.
Hatua ya pili,
Kama baada ya kuchart kwa muda mtakosa cha kuongea bas ANZA MAISHA YA VITENDO, fanya vitu vya kumuonyesha upendo mkeo, fanya vitu km vile hakuna kilichotokea.
Mfano nakupa mmoja bure mwingine utalipia 😆,
-unaeza chukua embe na kisu ukamfata jikoni ukaanzisha story fupi au kuulizia chochote mradi unamsemesha ukaosha na kukata embe vipande na kuanza kula huku unamsemesha then ukacoment kuhusu embe kuwa ni tamu then ukacoment kumpa na yeye, akikataa mwambie umlishe, akikataa mwambie kwa utani "maembe yanasaidia kuongeza nyege", hapo utaanza kumvutia kingono.
Niendelee hapa au nije DM?
Viumbe Ke vyenyewe huwa havijui kabisa akili zao zinataka nini, kaza fuvu sasa kuviridhisha hivyo viumbe ili ununue gunia mbili za mkaa na kwenda kuozea jela.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Daah mada kama hizi huwa zinanifariji sana juu ya msimamo wangu wa kuachana kabisa na fikra za kuoa maana kwa ninavyojifahamu kama huyo ndio angekuwa mke wangu ni either angekuwa amesharudishwa kwao permanently ama yuko mahala pema peponi.
Umetisha Sana mkuu 😂
 
Nipo kwenye wakati mgumu naomba unisaidie kimawazo.

Mimi nipo kwenye mgogoro na mke wangu na moyo wangu umeshindwa kumaliza kabisa.

Iko hivi, mwanamke wangu tulianza kuishi tangu 2012, makazi yetu yalikuwa Arusha, nikapata kazi na kupangiwa kituo lindi, tukahamia huko wote, tutafanikiwa kupata watoto wawili, lilipofika suala la shule kwa watoto tukakubaliana kwa pamoja kuwa arudi Arusha kwa ajili ya watoto wakati nikipambana nipate uhamisho

Basi nikaona asikae Bure nikamfungulia biashara ili aweze kujitegemea ya mtaji mzuri tu hiyo tulifanga 2021.

Mwaka 2022 akaanza malalamiko mengi yasiyo na msingi ya kunituhumu kuwa nina wanawake nje,mara zote nasafiri Kila baada ya miezi miwili kwenda nyumbani kwa ajili ya kumpa haki yake na kuwaona watoto. Lakini huwa anakuwa hisia zake ni ndogo sana wakati wa kusex hata nikimuandaa kwa muda mrefu, nikaamua Hadi kutumia KY ili nisimchubue.

Lakini mwaka huu mwezi wa Saba nikiwa nyumbani alipigiwa simu akakataa kupokea ,nilipo mlazimisha akakata..Nikapiga Ile namba ilivyopokelewa tu akaniita baba Fulani, Ile simu ikakatwa.

Nikaona niangalie usajili. Nikakuta imesajiliwa kwa jila la franc, nikaona nikague tena simu yake nikakuta Kuna jina amesave franc 2 nilipo angalia usajili nikakuta namba zile zile nilivyomwambia ni nani akasema ni mteja wa m pesa.

Kesho yake alivyoamka akawa na wasiwasi maana simu yake nilikuwa nimeishikilia, nikamwambia niambie ukweli kabla sijaupata mwenyewe, ndo akakiri kuwa ni kweli ametoka na huyo franc mara Moja

Nikaamua kufuatilia ndo nikaamfahamu huyo kijana ni dereva wa hiace hapo stend. Baadae nikambana wife akaongeza tena kuwa ametoka naye mara mbili , na mara ya pili ni hapa nyumbani sebuleni usiku watoto wakiwa wamelala..

Baadae nikamtafuta yule kijana nikamuweka kati akakiri kuwa ni kweli ametembea naye geto kwake na nyumbani kwangu, ila huyo kijana alikuwa hanifahamu, yule kijana akajitetea kuwa wife alimwambia kuwa tulishaachana tunalea tu watoto

Sasa naomba ushauri wako kwanza nampenda na nimempa Kila kitu isipokuwa muda wa kutosha maana nafanya kazi za porini..

Anatamani nisamehee lakini nimeshindwa Nisaidie nifanye nini, Kila nikilala nawaza kuwa siku zote alikuwa na mahusiano kwa Siri zaidi ya mwaka mmoja
Story nyingi za familia nashindwa kuelewa ni za kutunga au kweli. Tukio la kweli na la uchungu kiasi hicho unaomba ushauri upi wakati mwisho uamuzi utabakia wewe unaonaje.
 
....kosa lilianzia hapa mkuu. Kwani huko Lindi hakuna shule?? Vp mikoa ya jirani na Lindi??
Hili jamaa litakuwa lizinzi, lilimrudisha mke ili litanue na michepuko sasa linaanza kulialia! Yaani mke ukae miezi mitatu utamkuta kweli? Ina maana huko Lindi hakuna shule za maana? Kwa nini basi asimpeleke Mtwara kama Lindi hapafai?
 
Nipo kwenye wakati mgumu naomba unisaidie kimawazo.

Mimi nipo kwenye mgogoro na mke wangu na moyo wangu umeshindwa kumaliza kabisa.

Iko hivi, mwanamke wangu tulianza kuishi tangu 2012, makazi yetu yalikuwa Arusha, nikapata kazi na kupangiwa kituo lindi, tukahamia huko wote, tutafanikiwa kupata watoto wawili, lilipofika suala la shule kwa watoto tukakubaliana kwa pamoja kuwa arudi Arusha kwa ajili ya watoto wakati nikipambana nipate uhamisho

Basi nikaona asikae Bure nikamfungulia biashara ili aweze kujitegemea ya mtaji mzuri tu hiyo tulifanga 2021.

Mwaka 2022 akaanza malalamiko mengi yasiyo na msingi ya kunituhumu kuwa nina wanawake nje,mara zote nasafiri Kila baada ya miezi miwili kwenda nyumbani kwa ajili ya kumpa haki yake na kuwaona watoto. Lakini huwa anakuwa hisia zake ni ndogo sana wakati wa kusex hata nikimuandaa kwa muda mrefu, nikaamua Hadi kutumia KY ili nisimchubue.

Lakini mwaka huu mwezi wa Saba nikiwa nyumbani alipigiwa simu akakataa kupokea ,nilipo mlazimisha akakata..Nikapiga Ile namba ilivyopokelewa tu akaniita baba Fulani, Ile simu ikakatwa.

Nikaona niangalie usajili. Nikakuta imesajiliwa kwa jila la franc, nikaona nikague tena simu yake nikakuta Kuna jina amesave franc 2 nilipo angalia usajili nikakuta namba zile zile nilivyomwambia ni nani akasema ni mteja wa m pesa.

Kesho yake alivyoamka akawa na wasiwasi maana simu yake nilikuwa nimeishikilia, nikamwambia niambie ukweli kabla sijaupata mwenyewe, ndo akakiri kuwa ni kweli ametoka na huyo franc mara Moja

Nikaamua kufuatilia ndo nikaamfahamu huyo kijana ni dereva wa hiace hapo stend. Baadae nikambana wife akaongeza tena kuwa ametoka naye mara mbili , na mara ya pili ni hapa nyumbani sebuleni usiku watoto wakiwa wamelala..

Baadae nikamtafuta yule kijana nikamuweka kati akakiri kuwa ni kweli ametembea naye geto kwake na nyumbani kwangu, ila huyo kijana alikuwa hanifahamu, yule kijana akajitetea kuwa wife alimwambia kuwa tulishaachana tunalea tu watoto

Sasa naomba ushauri wako kwanza nampenda na nimempa Kila kitu isipokuwa muda wa kutosha maana nafanya kazi za porini..

Anatamani nisamehee lakini nimeshindwa Nisaidie nifanye nini, Kila nikilala nawaza kuwa siku zote alikuwa na mahusiano kwa Siri zaidi ya mwaka mmoja
Mwanamke mzinzi hana msamaha kamwe, acha ujinga bro unaomba ushauri wa nini?
 
Makosa ni ya kwako hapakuwa na sababu ya msing ya kuwafanya muishi mbali mbali nadhani hayo matokeo uliyatarajia ndo maana ulikuwa unasafiri umbali mrefu ukidhani unakuja kumpa haki yake kumbe mwenzako kashajiongeza. Ushauri wang msamehe maisha yaendelee. Mchukue mkeo ukaishi nae pamoja na wototo.
 
MKEO HANA KOSAAA...WEW NDO MJINGA ULIPOKUBALI ARUDI ARUSHA. Kwani unapoishi why yeye asingeweza kuishi?? ndoa za long distance ni uzinziii tu hakuna muaminifuuu hata wewe huko umewekaaa sanaa mabinti wengine.
 
Huyo muhuni Dereva hawezi muacha, ataendelea kuipiga mpaka ichubuke...pole mwamba.
 
Kataa ndoa wanachukua point tena hapa! Wanawake jamani! Kufuatilia haya mambo ya hawa viumbe ni kujiumiza tu! Hapo ukute wewe unakula kistaarabu sasa li dereva hiace linambinua mpaka miguu inagusa dari! Utumbo nje nje! Uamuzi unao wenyewe maana umejiingiza kwenye mfumo wewe mwenyewe! Hapo umembana amesema mara 2 ukimbana zaidi atasema mara 3 na kuendelea! Hapo mkuu inagongwa kila siku!
Mtafanya mwenzenu afanye mauaji 😹
 
Back
Top Bottom