TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,321
- 7,501
Habari wadau , kwanza nadhani wengine ndio itakuwa ni mara yao ya kwanza kuona Tofali nyekundi ya block.
Nirud kwenye mada jengo limejengwa kwa mchoro wa kupaua kikawaida ila sasa kutokana na hali kuwa ya ukata/ngumu na bati zipo juu hamna uwekezano wa jengo hili likapauliwa kama mtindo wa ki south (kuficha bati ) lakn pia isipotezi muonekano.
Polen kwa muandko m-baya.
Nasubiri comment zenu.
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Nirud kwenye mada jengo limejengwa kwa mchoro wa kupaua kikawaida ila sasa kutokana na hali kuwa ya ukata/ngumu na bati zipo juu hamna uwekezano wa jengo hili likapauliwa kama mtindo wa ki south (kuficha bati ) lakn pia isipotezi muonekano.
Polen kwa muandko m-baya.
Nasubiri comment zenu.
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app