Naomba ushauri kuhusu deni langu lililobaki Loans Board

Naomba ushauri kuhusu deni langu lililobaki Loans Board

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Wakuu, nilikua na mkopo wa heslb kama 13m hivi, nimelilipa wee mpaka limebaki 2.8m, sasa naona linanikera tu coz haliishi pamoja na juhudi zangu za kulipa nilizonazo.

So nafikiria kutafuta hiyo balance yote iliyobaki kutoka vyanzo vingine vya mapato nilipe hilo deni then mimi nibaki nadaiwa na hivyo vyanzo vyangu nitakavyokua nimenyofoa hiyo pesa.

Je, nitakua nimefanya uamuzi sahihi wakuu?

Screenshot_20220927-041303_Opera Mini.jpg
 
Hongera kwa kuwa mzalendo.
Kuna kipindi jiwe alitishia kutufunga magereza wadaiwa sugu wote,sijui aliishia wapi na ule mpango wake.Maza yeye hana makuu,hajawahi hata kuzungumza lolote kuhusu sisi wadaiwa sugu.
 
Nilishawai kusikia kuwa deni hilo haliishi kwa sababu linaongezaka kila mwaka kwa % fulani sijui ni kweli ? kama ni kweli kazi iendelee🥲.
 
Hongera kwa kuwa mzalendo.
Kuna kipindi jiwe alitishia kutufunga magereza wadaiwa sugu wote,sijui aliishia wapi na ule mpango wake.Maza yeye hana makuu,hajawahi hata kuzungumza lolote kuhusu sisi wadaiwa sugu.
sisi wadaiwa sugu sijui inakuwaje
 
Back
Top Bottom