red apple
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 778
- 1,212
Habari wakuu,
Kwa wenye uzoefu wa magari naomba mnisaidie, nina bajeti ya shilingi milioni sita na ninafikiria kununua gari ya Suzuki kei. Nimechukua uamuzi huu kwa sababu kwa sasa ninafanya biashara ambayo hunilazimu kuwazungukia clients mjini mara kwa mara, na hivyo nimeona wengi wanalisifia gari hili kuwa linatumia mafuta vizuri.
Swali langu ni kuwa je ni vipi upatikanaji wa spea zake? na ubora wake je?
Kwa wenye uzoefu wa magari naomba mnisaidie, nina bajeti ya shilingi milioni sita na ninafikiria kununua gari ya Suzuki kei. Nimechukua uamuzi huu kwa sababu kwa sasa ninafanya biashara ambayo hunilazimu kuwazungukia clients mjini mara kwa mara, na hivyo nimeona wengi wanalisifia gari hili kuwa linatumia mafuta vizuri.
Swali langu ni kuwa je ni vipi upatikanaji wa spea zake? na ubora wake je?