Lwamadovela
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 324
- 235
- Thread starter
- #21
Ndio mkuuAtakuwa alipewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuuAtakuwa alipewa
Hayo yote yalifanyika mkuu. NashukuruKwa taratibu za utumishi wa umma anaposhutumiwa kuwa ametenda kosa huwa mamlaka ya nidham inampa notes ya mashtaka ikiambatana na makosa uliyo yafanya na vifungu vya sheria ulivyo vunja katika utumishi wako na utaombwa upeleke utetezi wako ndani ya siku 14 ukishapeleka utetezi wako utasubir tume ya uchunguzi ije ikuhoji (kama utakuwa umekataa makosa lakini kama umekubali tume ya uchunguzi itaamua kukupa adhabu kutokana na makosa yko) sasa wewe ilikuwaje?
1.Uliletewa hati ya mashtaka?
2. Tume ya uchunguzi ilikuja kukuhoji kutokana ña makosa uliyo yafanya?
3. Kama ulijibu hiyo hati ya mashtaka uliomba ushauri kwa wataalam wanaojua taratibu na sheria za kiutumishi?
Sina barua ya onyo hata moja mkuuNa kama ulitenda makosa je bosi wako alisha kupa barua za onyo zaidi ya mara 3? Kama hujawahi kupewa barua za onyo utakuwa umeonewa!
cwt, haina uwezo wa kumsaidia Mwl. Makatibu wa wilaya na mikoa ndio walipaswa kuwasaidia walimu kama hatua ya kwanza wanaposhitakiwa lkn cha ajabu wamejikalia tu ofisini na kusubiri mishahara mwisho wa mwezi hakuna wafanyalo kumsaidia mwalimu....Kwan mwalimu sio mtumishi wa uma, hivi cwt ipo wapi
Asalam aleykum,
nilifukuzwa kazi na utumishi na mamlaka yangu ya nidhamu. TSD kwa sasa TSC. Mimi ni mwalimu, nilikata rufaa Tume ya Utumishi wa Umma. Nao walikataa rufaa yangu. Nikakata rufaa kwa Rais. nako rufaa ilikataliwa. Nimeenda mahakama kuu division ya kazi.
Je nikishinda kesi hii naweza rudishwa kazini!? Na utaratibu wa kesi ukoje?
Maana nasikia eti shauri likitoka hapo linakuja CMA.
Nawasilisha mnisaidie
Siku hizi wala sio ngumu kufukuZwa ndugu, unafukuzwa tu wanajua huna pakwenda kulalamikaPole sana. Ulifanya nini mpaka ukafukuzwa kazi na serikali? Utaratibu wa serikali kumfukuza mtu/mwajiriwa huwa ni mgumu sana. Ulifanya nini kilichokubuhu?
Siku hizi wala sio ngumu kufukuZwa ndugu, unafukuzwa tu wanajua huna pakwenda kulalamika
Utaenda kulalamika wp upate haki yako, Mf: TSC wilaya wakikupiga chini rufaa unakata TSC makao makuu Dodoma ambako % ya kutoboa ni ndogo sn kama ngamia kupenya tundu la sindano, ni sawa Na kesi inayomuhusu tumbili aiamue nyani,Una maana gani kusema wanajua huna pakwenda
TSC wilaya alinambie siwezi toboa kokote. Ni kweli mpaka ikulu sikutoboa. Alivosikia nimeenda mahakamani amechkia kweli. Siku tumeonana na yule katibu kanambia mi msumbufu!!Utaenda kulalamika wp upate haki yako, Mf: TSC wilaya wakikupiga chini rufaa unakata TSC makao makuu Dodoma ambako % ya kutoboa ni ndogo sn kama ngamia kupenya tundu la sindano, ni sawa Na kesi inayomuhusu tumbili aiamue nyani,
Ukitoka hapo kama huko bado hujatoboa unakata rufaa kwa Rais, huyu ambae kwake watumishi ni kama vibaka tu, ikumbukwe zamani rufaa zilikuwa zinaenda Tume ya utumishi wa umma ambao walikuwa wanazingatia maadili ktk kushughulikia rufaa,
So survival chance ya kutoboa kwa presidaa ni ngumu zaidi kwanza sababu yy sio anaye deal na rufaa bali watu tu wakawaida waliopo ikulu, embu nambie unapakwenda hapo???
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuuPole sana
Kama presidaa nae atazingua nenda high court ukaombe judicial review, ni heri kesi kwenda kumalizikia court kuliko kwenye vikamati uchwara vya TSC ambavyo mostly vinaangalia posho za kikao na kukandamiza maticha.TSC wilaya alinambie siwezi toboa kokote. Ni kweli mpaka ikulu sikutoboa. Alivosikia nimeenda mahakamani amechkia kweli. Siku tumeonana na yule katibu kanambia mi msumbufu!!
Ndiko iliko mkuu. Nashukuru kwa ushauriKama presidaa nae atazingua nenda high court ukaombe judicial review, ni heri kesi kwenda kumalizikia court kuliko kwenye vikamati uchwara vya TSC ambavyo mostly vinaangalia posho za kikao na kukandamiza maticha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pambana mkuu, najua unapitia kipindi kigumu sana kwenye maisha, ila kwa kuongezea kidogo ungemtafuta wakili akawa anakupa miongozo ya kisheria, pia sio mbaya ukawatafuta hao viongozi privetly kuongelea swala lako kwa kina.Ndiko iliko mkuu. Nashukuru kwa ushauri
Sina barua ya onyo hata moja mkuu
Nashukuru mkuu. Ndio nina wakiliPambana mkuu, najua unapitia kipindi kigumu sana kwenye maisha, ila kwa kuongezea kidogo ungemtafuta wakili akawa anakupa miongozo ya kisheria, pia sio mbaya ukawatafuta hao viongozi privetly kuongelea swala lako kwa kina.
I feel your pain.
Nilipopeleka tu rufaa niaambiwa nisubiri uamuzi. Nilisubiri mwaka mzima kimya. Nilipoenda ikulu nikaambiwa barua zangu hazipo. Bahati nzuri nilikuwa na risiti ya kutuma. Nilituma kwa EMS. kuna mtu pale mapokezi ikulu alinihurumia sana. akasema kama kuna nakala nikatume. so nikafanya hivyo. hukumu ikakubaliana na maamuzi ya awali mkuu.Kwa nini Ofsi ya Rais hawakukusikiliza? Walisema uamuzi wa TSC ulikuwa sahihi au walisema rufaa yako ni incompetent?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi hukumu yako kaka nitafute INBOXHawakuniita
Nilipopeleka tu rufaa niaambiwa nisubiri uamuzi. Nilisubiri mwaka mzima kimya. Nilipoenda ikulu nikaambiwa barua zangu hazipo. Bahati nzuri nilikuwa na risiti ya kutuma. Nilituma kwa EMS. kuna mtu pale mapokezi ikulu alinihurumia sana. akasema kama kuna nakala nikatume. so nikafanya hivyo. hukumu ikakubaliana na maamuzi ya awali mkuu.
Wanadai mara nyingi ngumu maamuzi kutenguliwaHawakuniita
Nilipopeleka tu rufaa niaambiwa nisubiri uamuzi. Nilisubiri mwaka mzima kimya. Nilipoenda ikulu nikaambiwa barua zangu hazipo. Bahati nzuri nilikuwa na risiti ya kutuma. Nilituma kwa EMS. kuna mtu pale mapokezi ikulu alinihurumia sana. akasema kama kuna nakala nikatume. so nikafanya hivyo. hukumu ikakubaliana na maamuzi ya awali mkuu.