Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya kumshurutisha muiite kaa nae chini muzungumze muulize tatizo nini...Kuna kazi ya kumsimamia bodaboda nilipewa. Makubaliano ilikua alete 280k kila mwezi baada ya miezi 10 pikipiki itakua ya kwake, sasa uletaji wa hesabu umekua ukisua sua ana malimbikizo ya almost miezi mitatu, nataka kumwambia arudishe pikipiki tuvunje mkataba ila pesa ambayo bado hajaleta ni nyingi sana almost laki 8 kwaiyo siwezi kuipotezea hela yote.
Naweza kuchukua pikipiki na nikamdai kiasi kilichobaki? Na nikishaichukua pikipiki nitamshurutisha vipi alipe angalao hata nusu ya pesa anayodaiwa?
Naombeni ushauri wenu
NdioMnamkataba wa kisheria?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kabla ya kumshurutisha muiite kaa nae chini muzungumze muulize tatizo nini...
Mbona hili sio jukwaa la madeniKuna kazi ya kumsimamia bodaboda nilipewa. Makubaliano ilikua alete 280k kila mwezi baada ya miezi 10 pikipiki itakua ya kwake, sasa uletaji wa hesabu umekua ukisua sua ana malimbikizo ya almost miezi mitatu, nataka kumwambia arudishe pikipiki tuvunje mkataba ila pesa ambayo bado hajaleta ni nyingi sana almost laki 8 kwaiyo siwezi kuipotezea hela yote.
Naweza kuchukua pikipiki na nikamdai kiasi kilichobaki? Na nikishaichukua pikipiki nitamshurutisha vipi alipe angalao hata nusu ya pesa anayodaiwa?
Naombeni ushauri wenu
Sio yangu mkuu nimepewa niisimamie tu maana mwenyewe yupo mbali, kuirudisha bila angalao hata nusu ya hesabu anayodaiwa sasa mwenye mali atanielewa kweliHiyo pikipiki ushaingia hasara. Kuendelea kumuachia huyo bodaboda ni sawa na kuipoteza.
Chagua moja. Kuipoteza kwa kumuachia ama kuikubali hasara iliyopo kwa kuichukua na kuiuza.
Nilishafanya ivyo ila sababu haziishi nilichoamua ni kuvunja mkataba ila siwezi kumwachia hela yote iyo alipe angalao nusu ya anayodaiwa nahitaji kujua namna ya kumshurutisha alete hela je nikimpeleke polisi au niende kwake nikachukue chochote nitakachokuta nishike kama dhamana ya deni? Yeye ni fundi ujenzi kuna sehemu wakijenga bado hawajalipwa ndo aliniambia wakilipwa anamaliza deni nakimshitaki kama ni kweli hajalipwa inawezakana nikapata kibali cha kuchukua yale malipo yake?kabla ya kumshurutisha muiite kaa nae chini muzungumze muulize tatizo nini...
Sasa chagua moja hapo. Uirudishe hivyo hivyo ukubali hasara na kupata nusu Shari kutoka kwa mmiliki ama uendelee kuiacha kwa huyo boda mhuni halafu ipotee kabisa uje kupata Shari kamili toka kwa mmiliki.Sio yangu mkuu nimepewa niisimamie tu maana mwenyewe yupo mbali, kuirudisha bila angalao hata nusu ya hesabu anayodaiwa sasa mwenye mali atanielewa kweli
Kwa hapo nimekuelewa nitaichukua mkuu ila kwa iyo hesabu ambayo bado hajaleta unanishauri nini mkuu ninwachie kabisa yaani laki 8+ asilete hata buku?, hakuna namna ya kumshnikiza hata kiroho mbaya poa tu. Nataka nimweke ndani mkewe ambae ndio mdhamini wake kwenye mkataba labda anaweza kuleta pesa, nitakua nimefanya vibaya hapo?Sasa chagua moja hapo. Uirudishe hivyo hivyo ukubali hasara na kupata nusu Shari kutoka kwa mmiliki ama uendelee kuiacha kwa huyo boda mhuni halafu ipotee kabisa uje kupata Shari kamili toka kwa mmiliki.
Sawa mkuuMbona hili sio jukwaa la madeni
Bodaboda ni mtu hana kitu zaidi ya uume wake. Hana kitu kabisa. Anaendesha boda haweki hata akiba , atakupa nn?Kwa hapo nimekuelewa nitaichukua mkuu ila kwa iyo hesabu ambayo bado hajaleta unanishauri nini mkuu ninwachie kabisa yaani laki 8+ asilete hata buku?, hakuna namna ya kumshnikiza hata kiroho mbaya poa tu. Nataka nimweke ndani mkewe ambae ndio mdhamini wake kwenye mkataba labda anaweza kuleta pesa, nitakua nimefanya vibaya hapo?
Ila bro na wewe upo na upumbavu sana. Inafikaje 800,000/=Sio yangu mkuu nimepewa niisimamie tu maana mwenyewe yupo mbali, kuirudisha bila angalao hata nusu ya hesabu anayodaiwa sasa mwenye mali atanielewa kweli
Alipata kazi ya ujenzi akaniambia akilipwa analeta balance yote ila tangu wamalize ujenzi mpaka leo anadai bado hajalipwa,Ila bro na wewe upo na upumbavu sana. Inafikaje 800,000/=
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu nimekuelewa, acha nifanye ivyo.. asante sanaBodaboda ni mtu hana kitu zaidi ya uume wake. Hana kitu kabisa. Anaendesha boda haweki hata akiba , atakuoa nn?
Kama aliichukua pikipiki yako kwa mgongo wa mdhamini kambane mdhamini wake. Vinginevyo muache endelea kutafuta hela
Sawa mkuuUlimuacha miezi mi3 yote ya nini?. Umefanya uzembe Sana. Kwanza siku hizi wanafanya kwa wiki Au siku kumi. Akizingua wiki moja Au mbili inachukuliwa chombo. Cha msingi wewe chukua mashine na sahau hicho kiasi.