Melxcom991
Senior Member
- Aug 2, 2021
- 101
- 115
Wakubwa zangu i hope mko fine,
Nilikua naomba ushauri wenu mimi ni kijana nilie maliza chuo mwaka huu.
Nimepata option mbili za kazi:
1. Kujitolea serikalini
2. Kuuza duka ambapo mshahara wake laki 3 kwa mwezi
Ipi ni option nzuri?
Nilikua naomba ushauri wenu mimi ni kijana nilie maliza chuo mwaka huu.
Nimepata option mbili za kazi:
1. Kujitolea serikalini
2. Kuuza duka ambapo mshahara wake laki 3 kwa mwezi
Ipi ni option nzuri?