Queen Priya
Senior Member
- Jul 15, 2018
- 100
- 97
Mimi ni mwajiriwa kwenye kampuni ila nilikuwa bado sijapewa mkataba na niliambiwa baada ya miezi sita ndio muda wa majaribio utaisha.
Kabla ya miezi sita kuisha, ikiwa ndio kwanza nina miezi miwili inaenda mitatu boss kaniita na kuniambia sijafikia kiwango cha utendaji mzuri wa kazi hivyo napaswa kuondoka kazini kwasababu hanihitaji tena.
Je, kuna haki yoyote natakiwa kudai? Naombeni ushauri wenu kwani nipo kwenye mawazo mazito sana.
Kabla ya miezi sita kuisha, ikiwa ndio kwanza nina miezi miwili inaenda mitatu boss kaniita na kuniambia sijafikia kiwango cha utendaji mzuri wa kazi hivyo napaswa kuondoka kazini kwasababu hanihitaji tena.
Je, kuna haki yoyote natakiwa kudai? Naombeni ushauri wenu kwani nipo kwenye mawazo mazito sana.