Mkuu nakusoma sana. Ipo siku nitakutafuta soon nategemea kujoin team mazdaMagari ya kisasa yana umeme mwingi lengo ni kufanya efficience iwe nzuri zaidi na kutoipa engine kazi nyingi mfano ,kama feni ya rejeta ,water pump ,compresor ya Aic vinapotumia umeme engine inakuwa haina mzigo mkubwa ....hivyo inakupa consuption nzuri Tatizo mafundi bongo michosho sana wavivu kufikiria sana ...shule hawaendi wanataka watu wanunue magari wanayoweza wao huu ni uwenda wazimu
karibu team Mazda tumetulia tuMkuu nakusoma sana. Ipo siku nitakutafuta soon nategemea kujoin team mazda
Zaidi ya sana kuanzia mazda versa,premancy,Axela,deminio na baba lao cx5 ...mm nina cx 5 engine 2.2 L inanipa km 18 kwa lita 1 na ton inanipa 16 sababu ya skytive tecnology mazda ziko poa sanaMkuu Mazda kumbe inakula wese vzr
Sa hz kwa Dar spare za Mazda sio issue tenaMazda kwa ujumla wake ni gari nzuri na imara sana. Nilikuwa na premacy lakini by then mafundi walikuwa wachache na spare ishu sana. Kuna mwamba mmoja alikuwa na duka la spea za mazda hapo Tabata Matumbi ndo nilikuwa naponea hapo lakini eventually niliuza kishingo upande. Siku hizi though yamekuwa mengi na mambo yamekuwa rahisi kila kitu kinapatikana hela yako tu.
Asante MkuuZaidi ya sana kuanzia mazda versa,premancy,Axela,deminio na baba lao cx5 ...mm nina cx 5 engine 2.2 L inanipa km 18 kwa lita 1 na ton inanipa 16 sababu ya skytive tecnology mazda ziko poa sana
Inakulaje mkuu,lita moja inaenda mwendo gani?Kwa upande wa 2wd ina fuel consuption nzuri zaidi kuliko 4WD , ila inategemea na mazingira kama upo mazingira yenye milima sana na off road muda mwingi chagua yenye 4WD but consuption inashuka kidogo ...ila kwa ujumla ni gari nzuri sana [emoji106]
Gari ndefu kama zakubebea vikapuWatu wanapenda vitu vya ajabu duniani hapa.....
Duh 2.2L na unakupa km 18? Sipatii picha kwa hizi mazda demio 2005 kuja chini itakuwaje, au hizi hazina hiyo teknolojia?Zaidi ya sana kuanzia mazda versa,premancy,Axela,deminio na baba lao cx5 ...mm nina cx 5 engine 2.2 L inanipa km 18 kwa lita 1 na ton inanipa 16 sababu ya skytive tecnology mazda ziko poa sana
Model zote kuanzia 2002 mazda alianza kutumia sykative technology ,nimeona pia Toyota kaanza naye kwa Toyota Epoch ya 2012 .....kwa demio inaenda mpk km 23 kwa lita 1 ,versa inaenda km 20 kwa lita mazda for lifeDuh 2.2L na unakupa km 18? Sipatii picha kwa hizi mazda demio 2005 kuja chini itakuwaje, au hizi hazina hiyo teknolojia?
Duh, ndio maana siku hizi demio zinachipukia kwa roadModel zote kuanzia 2002 mazda alianza kutumia sykative technology ,nimeona pia Toyota kaanza naye kwa Toyota Epoch ya 2012 .....kwa demio inaenda mpk km 23 kwa lita 1 ,versa inaenda km 20 kwa lita mazda for life
Ukiwa na demio hakuna matata kuzidi hata Toyota Ist cjui watu wanakapendea nn kale gar hakajawahi kabisa kuubariki moyo wanguDuh, ndio maana siku hizi demio zinachipukia kwa road
Kwa kuwa ni TOYOTA, brand pia inaibeba sana ile garUkiwa na demio hakuna matata kuzidi hata Toyota Ist cjui watu wanakapendea nn kale gar hakajawahi kabisa kuubariki moyo wangu
Bei yake kuagiza inaendaje hii??
Mimi nataka kununua Mazda verisa. Naipenda jinsi ilivyo. Je inachangamoto yoyote.karibu team Mazda tumetulia tu
We nunua mkuu..gari yoyote uzingatie service tu...Mimi nataka kununua Mazda verisa. Naipenda jinsi ilivyo. Je inachangamoto yoyote.
Zaidi ya sana kuanzia mazda versa,premancy,Axela,deminio na baba lao cx5 ...mm nina cx 5 engine 2.2 L inanipa km 18 kwa lita 1 na ton inanipa 16 sababu ya skytive tecnology mazda ziko poa sana