Naomba ushauri kuhusu miti ya Eucalyptus

Naomba ushauri kuhusu miti ya Eucalyptus

kitoto wa vitoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2019
Posts
375
Reaction score
410
Wadau na wataalamu nawasalimu kwa pamoja,

Nina kashamba kangu mahali mkoa wa pwani Kama heka 20.

Nafikiria huu msimu wa mvua nipeleke huko miti michache nikaoteshe kuzunguka eneo lote sasa mm nimewaza niioteshe miti aina ya eucalyptus.

Je, Inastawi eneo la pwani?

Pia miti hiyo imeruhusiwa kuoteshwa na mtu yeyote?

Kwa yeyote mwenye ushauri wa ziada namkaribisha

images%20(5).jpg
download%20(4).jpg
download%20(3).jpg
 
Wadau na wataalamu nawasalimu kwa pamoja,

Nina kashamba kangu mahali mkoa wa pwani Kama heka 20.

Nafikiria huu msimu wa mvua nipeleke huko miti michache nikaoteshe kuzunguka eneo lote sasa mm nimewaza niioteshe miti aina ya eucalyptus.

Je, Inastawi eneo la pwani?

Pia miti hiyo imeruhusiwa kuoteshwa na mtu yeyote?

Kwa yeyote mwenye ushauri wa ziada namkaribisha

View attachment 2034387View attachment 2034388View attachment 2034389
Kuna kipindi hii miti ilipigwa marufuku hususani karibu na maeneo ya maji

Kwanini usioteshe Miche ya matunda....fikiria ...MACHUNGWA,,,NDIMU.....LIMAO....hii itakupa tija kwa muda mfupi

Pambana kidogo kidogo....utatoboa

Ila mkuu, kilimo na ufugaji kwa scale ya mkulima au Mfugaji Mdogo na wakati ni changamoto saana.. tena saana unatakiwa ujipange sio kidogo,,,,otherwise utafilisika

Nikushirikishe machache

1- Kuna wafugaji kuingiza shambani kwako mifugo..
2-Kuna viongozi wa ......vijiji....... na vitongoji......majirani..... ukishaanza shughuli hawachoki kila siku kukupigia simu na kuanza kukuomba uwape bila kukufanyia lolote.
3. Waangalii wa shamba ...hawa wamekuwa ni changamoto saana wengi ni waongo..wezi ......wanatamaa..usipokuwa makini unaweza filisi mshaaaaaaahara wako....kama unawekeza kwa kutumia Mshahara
4.Kama Eneo lako lipo isolated.. kuna changamoto ya MOTO kipindi cha kiangazi..wafugaji lazima wachome moto ili wapate majani ya mifugo

Mengine wazoefu zaidi watasema

Kila la kheri .....ila tambua akili za kuambiwa changanya na za kwako

Ushauri wangu...kuwa na malengo dhabiti pambana kidogo kidogo
 
Wadau na wataalamu nawasalimu kwa pamoja,

Nina kashamba kangu mahali mkoa wa pwani Kama heka 20.

Nafikiria huu msimu wa mvua nipeleke huko miti michache nikaoteshe kuzunguka eneo lote sasa mm nimewaza niioteshe miti aina ya eucalyptus.

Je, Inastawi eneo la pwani?

Pia miti hiyo imeruhusiwa kuoteshwa na mtu yeyote?

Kwa yeyote mwenye ushauri wa ziada namkaribisha

View attachment 2034387View attachment 2034388View attachment 2034389
Hii miti haifai. Kaam ni bianadamu tungeiita wabinafsi au wachoyo. Inatumia maji mengi sana kiasi kwamba mimea mingine eneo husika inaweza isipate maji ya kuistawisha. Inalifanya eneo kuwa kame maana inaenda chini sana mizizi yake kutafuta maji.

Nashangaa hata serikali inatuhusu vipi miti hii ipandwe kiholela.

Hii miti mara nyingi inatakiwa ipandwe eneo oevu au lenye maji ili kukausha maji eneo husika na baada ya kufikia lengo inakatwa ili kuendelea na yaliyokusudiwa.

Sikushauri kupanda hiyo miti ikiwa una lengo la kufanya kilimo cha mazao mengine zaidi ya mbao kwenye hilo shamba.
 
Kuna kipindi hii miti ilipigwa marufuku hususani karibu na maeneo ya maji

Kwanini usioteshe Miche ya matunda....fikiria ...MACHUNGWA,,,NDIMU.....LIMAO....hii itakupa tija kwa muda mfupi

Pambana kidogo kidogo....utatoboa

Ila mkuu, kilimo na ufugaji kwa scale ya mkulima au Mfugaji Mdogo na wakati ni changamoto saana.. tena saana unatakiwa ujipange sio kidogo,,,,otherwise utafilisika

Nikushirikishe machache

1- Kuna wafugaji kuingiza shambani kwako mifugo..
2-Kuna viongozi wa ......vijiji....... na vitongoji......majirani..... ukishaanza shughuli hawachoki kila siku kukupigia simu na kuanza kukuomba uwape bila kukufanyia lolote.....
3. Waangalii wa shamba ...hawa wamekuwa ni changamoto saana wengi ni waongo..wezi ......wanatamaa..usipokuwa makini unaweza filisi mshaaaaaaahara wako....kama unawekeza kwa kutumia Mshahara
4.Kama Eneo lako lipo isolated.. kuna changamoto ya MOTO kipindi cha kiangazi..wafugaji lazima wachome moto ili wapate majani ya mifugo

Mengine wazoefu zaidi watasema

Kila la kheri .....ila tambua akili za kuambiwa changanya na za kwako

Ushauri wangu...kuwa na malengo dhabiti pambana kidogo kidogo
Asante sana mkuu
Matunda nilifikiria ila mm nakaa mbali
Nikaona bora miti pia nilimie pemben na pemben ili moto ukija isivuke
Ila nshukuru kwa mchango wako
 
Hii miti haifai. Kaam ni bianadamu tungeiita wabinafsi au wachoyo. Inatumia maji mengi sana kiasi kwamba mimea mingine eneo husika inaweza isipate maji ya kuistawisha. Inalifanya eneo kuwa kame maana inaenda chini sana mizizi yake kutafuta maji.

Nashangaa hata serikali inatuhusu vipi miti hii ipandwe kiholela.

Hii miti mara nyingi inatakiwa ipandwe eneo oevu au lenye maji ili kukausha maji eneo husika na baada ya kufikia lengo inakatwa ili kuendelea na yaliyokusudiwa.

Sikushauri kupanda hiyo miti ikiwa una lengo la kufanya kilimo cha mazao mengine zaidi ya mbao kwenye hilo shamba.
Sawa mkuu nimekuelewa ila naotesha pemben mwa shamba tu siyo shamba zima
 
Back
Top Bottom