Naomba ushauri kuhusu ofa ya mshahara

Boss mzungu sana huyu ataki kunibana sababu bado anavyanzo vingine vya mapato
Kwakifupi we ndo boss haf uache kua boss ukaajiriwe?? Unless utakua umetudanganya!!!! Kwamba kwa siku unaweza kupata 40k means mwez una uhakila wakupata si chini ya 1m halafu uache ukaajiriwe Tena kwa mshahara wa 500k does it make sense to you??
Em tuambie ukweli tukushauri vizuri hayo maelezo uliyotoa sio sahihi period!
 
Jichanganye kwa Muhindi ulie kilio cha Mtema kuni
 
Nenda tu Shaban ukitoka hapo kwa Muhindi utaweza kufanya kazi popote duniani
 
Kwa wahindi inabidi uwe mtu wa kujipendekeza sana
 
Umesema wahindi!!
Fanya na huyo mbongo tuu.
Nasikia Wana Mambo mengi,siku ukitaka kuacha unaweza zushiwa kesi ukagaramikia Sana,yaani wakikubali kuja kutoka kwo utatoka ukiwa umechoka sana
 
Wahindi wana akili sana, kukupita wewe usiye mhindi. Hata ukiwaibia wanajifanya hawajui, kumbe washapiga hesabu mpaka za kuibiwa, wanakutumikisha ni lazima ulipe japo indirectly.

Ndiyo maaana mnaopenda wizi hamuwapendi wahindi.
Na ukizingua watakutengenezea kesi ,utalipa hadi akili ijae kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…