Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Vile vi keyboard vya Tablet vitakutesa"Kama unataka ku type kwanini usitafute Laptop mahususi ya kazi hizo? Vile vi keyboard vya Tablet vitakutesa.
Unatumia software ama Os gani kufanya kazi zako?
Os gani unatumia mkuu? Windows, Android, Ios etc."Vile vi keyboard vya Tablet vitakutesa"
Nimekuelewa mtaalam. Niliona matangazo yake so ikabidi niombe ushauri.
nunia device ya kukuwezesha kuunga mouse au keyboard. Kanauzwa 5000Je, ni ipi Ni imara na inafaa kwa kazi ndogondogo za Ofisi, kama typing na internet?
Ikiwezekana na bei zikoje?
Asante.
Vinatesa vip Mkuu..Kama unataka ku type kwanini usitafute Laptop mahususi ya kazi hizo? Vile vi keyboard vya Tablet vitakutesa.
Unatumia software ama Os gani kufanya kazi zako?
Sio clickable sana huwezi kutype kwa muda mrefu. Keyboard zake ni kwa ajili ya casual users tu. Na issue ni keyboard husika na sio OS.Vinatesa vip Mkuu..
Kuna zile zenye window kwa kutype vitafaa..hizi anazosema zina wps tu ambapo zina limit
Nje ya mada: hivi mkuu kwa ulimwengu wa sasa, kazi na faida za tablet ni zipi kama tayari unamiliki smartphone na laptop?Sio clickable sana huwezi kutype kwa muda mrefu. Keyboard zake ni kwa ajili ya casual users tu. Na issue ni keyboard husika na sio OS.
Kama una smartphone na laptop tablet inabaki niche, kama kusomea hasa Comics kama Manga, Kuchorea kama una kipaji hicho, kuplay play videos ama kutumia vitu vingine vya simu kwenye kioo kikubwa.Nje ya mada: hivi mkuu kwa ulimwengu wa sasa, kazi na faida za tablet ni zipi kama tayari unamiliki smartphone na laptop?
Asante mkuu.Kama una smartphone na laptop tablet inabaki niche, kama kusomea hasa Comics kama Manga, Kuchorea kama una kipaji hicho, kuplay play videos ama kutumia vitu vingine vya simu kwenye kioo kikubwa.