Ndio kwa uyouyo dia kwa fadher anatibu sana watu mm tofauti na mgongo pia kuna kipindi nlichomwa sindano ya maralia hospital nikapata aleji nikatoka vipele vinavowasha mwili mzima nikaenda kwa fadher akanipa dawa yaan nlikua sijalala siku tatu iyo siku napewa dawa hapo kwa fadher nlivokunywa tu hapohapo nikapona sikuamin pia ashanitib nlikua na uti sugu na typhoid sugu kupitia dawa zake nliponaSio kwa father kweli? Kama ni kwa father huyo kweli anasaidia sana. Sijawah kufika physically ila najua kua anatibu sana. Kuna watu wametibiwa mpaka kansa
Mkuu namba zake zilikua kwenyw kikadi fulan nmekipoteza ila nmeuliza yupo anapatikana jumatatu hadi alhamis kuanzia saa mbili asubuh tena kama unaenda uwahi maana kuna kuwaga na folen sana unaweza jikuta unatoka saa tatu usiku
Spinal disks. Hata Kwa mgonjwa wako watakueleza ni namba ipi na ipi zimepandana au kusababisha hayo maumivu. Hii ya 5 na 6 insikitisha kidogo na ni fundisho Kwa wazazi wengi maana wangu niliwaficha na hadi sasa hawajua chanzo chake, liligudulika 1993 na kuanza matibabu rasmi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni wazazi kuzuia watoto wasitoke kujichanganya na wenzao, ikitokea mtoto katoka bila kuaga janga litakalompata huko hatosema nyumbani Kwa kuhofia kupigwa, ndivyo ilivyokuwa kwangu nilianguka na niliumia sehemu ya mgongo sikusema nyumbani na miaka yote
Mkuu pingili zinauma, Nina hili tatizo namshukuru Mungu sijapona Ila 95% nasema sijambo kabisa, nilianza na S5 na 6 baadaye nikapata ajali kwenda kuangalia wakakuta S1-4 kuna tatizo na hizo mbili za juu, namshukuru Mungu maumivu yanapungua kila siku, sifanyi mazoezi labda nikijisikia vibaya, ndio nafanya mwenyewe nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo father Anaitwa kisome kama ndo uyo Nina number zake
Nampataje daktari huyo, mke wangu amekuwa na shida hiyo kwa muda mrefu. Namba yangu ni 0757503034Uyo doctor wa morogoro sio witch doctor ni babu wa kihindi unapima hospital ukipata majibu ndio unaenda nayo hapo kwake kiukweli dawa zake ukifatilia zinasaidia dawa zake ni vidonge kama vya hospital ila utafautini vimetengenezewa miti shamba huko kwao india... Mkuu kuliko oparation jarib kwenda maana mm nshawahi umwa mgongo sana na moyo nikaenda nikapewa dawa nlivomaliza dozi hadi leo sijawahi umwa mgongo tangu 2017 jaribu ukitaka naweza kukuelekeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlitibiwa hospitali gani. Naomba unicheki kwenye 0757503034Hamna njia nyepesi operesheni ni ya lazima, wengi Wa napata operesheni na wanaendelea vizuri, ikitokea jambo lingine ni bahati mbaya. Hata Mjomba yangu alikuwa anaogopa matibabu tukalazimisha Kwa Sasa anachekelea maisha na kutupongeza Kwa ubabe tuliomfanyia. Alipokuwa mgonjwa ni kilio tu