Naomba ushauri kuhusu tatizo la pingili za uti wa mgongo

Naomba ushauri kuhusu tatizo la pingili za uti wa mgongo

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Salamu!

kuna ndugu yangu yangu ana tatizo la pingili ya mgongo. Kwa mujibu ya vipimo ni kuwa pingili mbili za mgongo zimepandana (Maelezo ya Daktari baada ya kusoma matokeo ya MRI (Benjamin Mkapa, Dodoma). Hali hii imekuwa inamletea maumivi makali. Aidha, muda fulani hususani nyakati za usiku hupata mshitukona mwili kutetemeka kama mgonjwa wa degedege. Dakatari alieleza kuwa hii inatokana na pingili zile ambazo hazipo sawa kuna kipindi zina gusa mishipa ya fahamu!

Matibabu anayopatiwa sasa ni dawa za kutuliza maumivu pamoja na mazoezi. Aidha, tumeambiwa kuwa operation inaweza kufanyika ila sio nzuri ni hatari. Hali imekosesha amani familia kwa kuwa maumivu ni makali na anashindwa kufanya shughuli zake kwa ufanisi.

Nimeleta hapa nikiamini kuna watu ni wajuzi wanaweza kutusaidia .Aidha kuna wengine wanaweza kutupa hata uzoefu tu!

Nimekuwa nikisikia matangazo ya Daktari mmoja Mororgoro tiba mbadala, kuwa anatibu tatizo hili, lakini kutokana na unyeti wa tatizo lenyewe tupo kwenye mtanzuka!
 
Kwa kweli operation ni hatari kwa kuwa eneo lenyewe ni hatari maana mambo yakienda vibaya anaweza kuwa mlemavu maisha. Kuna mzee namfahamu yeye naye ana shida hiyo hawezi kukaa muda mrefu sehemu moja lazima asimame atembee hivyo na maumivu ya kutosha ila huu ni mwaka zaidi 7 yupo na shida hiyo. Nadhani anatumia na tiba mbadala
 
Kwa kweli operation ni hatari kwa kuwa eneo lenyewe ni hatari maana mambo yakienda vibaya anaweza kuwa mlemavu maisha. Kuna mzee namfahamu yeye naye ana shida hiyo hawezi kukaa muda mrefu sehemu moja lazima asimame atembee hivyo na maumivu ya kutosha ila huu ni mwaka zaidi 7 yupo na shida hiyo. Nadhani anatumia na tiba mbadala
Bora Dr. kawaambia ukweli ili ndugu muamue wenyewe, kuna Dr. miaka ya nyuma alinishauri anifanyie nikakataa akaniambia kama sitaki asinione tena MOI na kweli sikukanyaga tena, baada ya muda nikasikia kuna jamaa mmoja naye alikuwana na tatizo kama langu walimfanyia akafariki niliumia sana, simpendi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, ni bora ukaenda kumuona daktari bingwa wa mifupa (Orthopedist).

Eneo la uti wa mgongo linatakiwa kushugulikiwa kwa uangalifu mkubwa sana, maana uti wa mgongo ni mwendelezo wa ubongo.

Kuna neva nyingi sana hapo, na kama kitu kidogo tu kikikosewa anaweza kufariki au kupooza (kupata paralysis).

Ninakushauri umuone Daktari Bingwa kwa msaada wa kitaalamu zaidi.
 
Kwa kweli operation ni hatari kwa kuwa eneo lenyewe ni hatari maana mambo yakienda vibaya anaweza kuwa mlemavu maisha. Kuna mzee namfahamu yeye naye ana shida hiyo hawezi kukaa muda mrefu sehemu moja lazima asimame atembee hivyo na maumivu ya kutosha ila huu ni mwaka zaidi 7 yupo na shida hiyo. Nadhani anatumia na tiba mbadala
Mkuu pingili zinauma, Nina hili tatizo namshukuru Mungu sijapona Ila 95% nasema sijambo kabisa, nilianza na S5 na 6 baadaye nikapata ajali kwenda kuangalia wakakuta S1-4 kuna tatizo na hizo mbili za juu, namshukuru Mungu maumivu yanapungua kila siku, sifanyi mazoezi labda nikijisikia vibaya, ndio nafanya mwenyewe nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KYALOSANGI, Sijui ana tatizo gani, Mimi nimekuwa na tatizo la lower back pain na nimekuwa na tumia hili zoezi kila siku asubuhi na jioni, naona Kuna mabadiliko. Mwambie am following huyu jamaa ana video zake nyingi kuhusu matatizo ya uti wa mgongo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Doh Pole sana
Bora Dr. kawaambia ukweli ili ndugu muamue wenyewe, kuna Dr. miaka ya nyuma alinishauri anifanyie nikakataa akaniambia kama sitaki asinione tena MOI na kweli sikukanyaga tena, baada ya muda nikasikia kuna jamaa mmoja naye alikuwana na tatizo kama langu walimfanyia akafariki niliumia sana, simpendi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pingili zinauma, Nina hili tatizo namshukuru Mungu sijapona Ila 95% nasema sijambo kabisa, nilianza na S5 na 6 baadaye nikapata ajali kwenda kuangalia wakakuta S1-4 kuna tatizo na hizo mbili za juu, namshukuru Mungu maumivu yanapungua kila siku, sifanyi mazoezi labda nikijisikia vibaya, ndio nafanya mwenyewe nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu, hilo eneo siyo la mchezo kukimbilia operation maana mambo yakienda ndivyo sivyo unaweza kupooza kabisa, cha msingi ni kupunguza kubeba vitu vizito, kulalia magodoro maalum kwa ajili ya mgongo, ikiwezekana kuvaa mkanda na mazoezi kadri muda unavyooenda maumivu hupungua
 
Uyo doctor wa morogoro sio witch doctor ni babu wa kihindi unapima hospital ukipata majibu ndio unaenda nayo hapo kwake kiukweli dawa zake ukifatilia zinasaidia dawa zake ni vidonge kama vya hospital ila utafautini vimetengenezewa miti shamba huko kwao india... Mkuu kuliko oparation jarib kwenda maana mm nshawahi umwa mgongo sana na moyo nikaenda nikapewa dawa nlivomaliza dozi hadi leo sijawahi umwa mgongo tangu 2017 jaribu ukitaka naweza kukuelekeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo doctor wa morogoro sio witch doctor ni babu wa kihindi unapima hospital ukipata majibu ndio unaenda nayo hapo kwake kiukweli dawa zake ukifatilia zinasaidia dawa zake ni vidonge kama vya hospital ila utafautini vimetengenezewa miti shamba huko kwao india... Mkuu kuliko oparation jarib kwenda maana mm nshawahi umwa mgongo sana na moyo nikaenda nikapewa dawa nlivomaliza dozi hadi leo sijawahi umwa mgongo tangu 2017 jaribu ukitaka naweza kukuelekeza

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsantee Sana Tumboo, naomba maelekezo yako
 
Mkuu pingili zinauma, Nina hili tatizo namshukuru Mungu sijapona Ila 95% nasema sijambo kabisa, nilianza na S5 na 6 baadaye nikapata ajali kwenda kuangalia wakakuta S1-4 kuna tatizo na hizo mbili za juu, namshukuru Mungu maumivu yanapungua kila siku, sifanyi mazoezi labda nikijisikia vibaya, ndio nafanya mwenyewe nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu sijakupata S5 na 6,S1+4 ni Nini!??
 
Samahani mkuu sijakupata S5 na 6,S1+4 ni Nini!??
Spinal disks. Hata Kwa mgonjwa wako watakueleza ni namba ipi na ipi zimepandana au kusababisha hayo maumivu. Hii ya 5 na 6 insikitisha kidogo na ni fundisho Kwa wazazi wengi maana wangu niliwaficha na hadi sasa hawajua chanzo chake, liligudulika 1993 na kuanza matibabu rasmi,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo doctor wa morogoro sio witch doctor ni babu wa kihindi unapima hospital ukipata majibu ndio unaenda nayo hapo kwake kiukweli dawa zake ukifatilia zinasaidia dawa zake ni vidonge kama vya hospital ila utafautini vimetengenezewa miti shamba huko kwao india... Mkuu kuliko oparation jarib kwenda maana mm nshawahi umwa mgongo sana na moyo nikaenda nikapewa dawa nlivomaliza dozi hadi leo sijawahi umwa mgongo tangu 2017 jaribu ukitaka naweza kukuelekeza

Sent using Jamii Forums mobile app
Niombe namba zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba nami uniekeze mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo doctor anapatikana morogoro ukifika msamvu stendi unachukua tax ni 5000 au bodaboda 3000 hadi kwa uyo doctor anapatika kihonda ilipo shule ya wavulana st francis ukifika tu hapo st francis ushafika sio pakupotea sababu ni sehem maarufu.

Sana uyo babu anatibu hadi kisukari na presha siku nlienda pale kuna mama mmoja mwanae alikua anaanguka na kifafa akanishuhudia anaendelea vizuri kupitia dawa hizo....NOTE anapatikana JUMATATU____ALHAMIS weekend hapatikani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kwa father kweli? Kama ni kwa father huyo kweli anasaidia sana. Sijawah kufika physically ila najua kua anatibu sana. Kuna watu wametibiwa mpaka kansa. TUMBOO,
 
Back
Top Bottom