Naomba ushauri kuhusu ugonjwa huu wa kuku

Naomba ushauri kuhusu ugonjwa huu wa kuku

UMUNYU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
726
Reaction score
564
Wana JF,

Kwanza niseme asanteni sana maana ushauri ambao mmekuwa mnanipa nimekuwa nikiufanyia kazi unanipa matokeo mazuri. Sasa nina changamoto ya kuku wa sasso ambao wana umri wa miezi miwili wamekuwa wakifa hovyo.

Dalili wanakunya kinyesi cha rangi kama chokaa,wengine kinyesi ni kama udongo kinavyofanana!Sasso hawa niliwanunua silverlands.Chanjo zote walipatiwa.

Nilileta mtaalamu akadai kuwa ni fowl cholera, akaniandikia Trimovet, OTC 20%,ESB 3, Piperazine zote nikawaanzishia dozi ya siku 5, zingine siku mbili lakini ajabu vifo vinaendelea!Wakifa mdomoni wanatoa uteute kama wa juice ya bamia!

Msaada wa mawazo tafadhali.

IMG_20230505_101512.jpg

IMG_20230505_101416.jpg
 
Pole sana mkuu Kalamu GAZETI msaidieni mdau mawazo.
Tatizo lake ninalifahamu vyema kabisa.

Kasema "amemtafuta mtaalam" na mtaalam huyo ndiye aliyemshauri matibu ambayo inaonekana hayakuleta mafanikio.

Mimi si mtaalam wa eneo hilo, lakini tatizo kama hilo analokumbana nalo ninlielewa vizuri, kwani siyo siku nyingi sana nilipopambana nalo.
Namshauri arudi tena kwa mtaalam, ikiwezekana kwa mtaalam mwingine ili apate ushauri mwingine tofauti na huo wa huyo wa mwanzo.
Hii njia ya JF siyo njia sahihi ya kutolea maoni ya swala kama hilo.

Mkuu 'RUSTEM PASHA', kuna jambo muhimu sana kwako hapa kujifunza na ule mradi wako uliouwasilisha hapa siku za karibuni. Natumaini utazingatia funzo hili pia na kurekebisha matarajio yako katika kazi unayotarajia/unayoifanya.
 
Mkuu 'RUSTEM PASHA', kuna jambo muhimu sana kwako hapa kujifunza na ule mradi wako uliouwasilisha hapa siku za karibuni. Natumaini utazingatia funzo hili pia na kurekebisha matarajio yako katika kazi unayotarajia/unayoifanya.
Nikweli mkuu.
 
Tatizo lake ninalifahamu vyema kabisa.

Kasema "amemtafuta mtaalam" na mtaalam huyo ndiye aliyemshauri matibu ambayo inaonekana hayakuleta mafanikio.

Mimi si mtaalam wa eneo hilo, lakini tatizo kama hilo analokumbana nalo ninlielewa vizuri, kwani siyo siku nyingi sana nilipopambana nalo.
Namshauri arudi tena kwa mtaalam, ikiwezekana kwa mtaalam mwingine ili apate ushauri mwingine tofauti na huo wa huyo wa mwanzo.
Hii njia ya JF siyo njia sahihi ya kutolea maoni ya swala kama hilo.

Mkuu 'RUSTEM PASHA', kuna jambo muhimu sana kwako hapa kujifunza na ule mradi wako uliouwasilisha hapa siku za karibuni. Natumaini utazingatia funzo hili pia na kurekebisha matarajio yako katika kazi unayotarajia/unayoifanya.
Nimefanya hivyo,ajabu na mwingine amedai matibabu yanayofanana na hayo!Nilipomwambia kuwa nilitumia dawa hizo,kanitisha kwan kuniambia eti tuwe waangalifu sana kwa sababu sasa hivi dawa nyingi ni feki!!Nimerudi nyumbani nimechanganyikiwa
 
Nimefanya hivyo,ajabu na mwingine amedai matibabu yanayofanana na hayo!Nilipomwambia kuwa nilitumia dawa hizo,kanitisha kwan kuniambia eti tuwe waangalifu sana kwa sababu sasa hivi dawa nyingi ni feki!!Nimerudi nyumbani nimechanganyikiwa
Nami nilitaka kukupa tahadhali hiyo hiyo,, ya kwamba hali ya biashara hiyo imekuwa siyo nzuri tena. Kila mtu sasa ni kutaka kuvuna tu kwa mgongo wa mwingine.

Watu hawaelewi, nchi inapoanza kuwa na hali ya namna hii tuliyo nayo sasa hivi mambo mengi sana huvurugika.

Ushauri ninaoweza kukupa zaidi: Angalia kama kuna mfanya biashara wa hayo madawa unayeweza kuwa na uaminifu naye, nenda kwake na jenga uhusiano naye wa karibu. Mweleze mkasa unaokupata. Ikiwezekana nenda na makasha ya hizo dawa ulizotumia ili kama ni feki atakwambia ni feki.

Lakini bado nina mashaka kidogo na ugonjwa wenyewe ulioambiwa kwamba ndilo tatizo. Piperazine ni dawa ya minyoo.
Na hilo tatizo linaloonekana kutoa kinyesi cha rangi ya chokaa na ugolo, si lazima iwe "Fowl cholera" pekee inayoweza kuonyesha dalili hizo.
Kwa hiyo huku pia bado kuna mashaka.

Kama upo karibu na ofisi za maabara ya serikali ya wizara ya mifugo, chukua kuku mmoja aliyeathirika wakampime ili ujulikane tatizo ni nini.
 
Nami nilitaka kukupa tahadhali hiyo hiyo,, ya kwamba hali ya biashara hiyo imekuwa siyo nzuri tena. Kila mtu sasa ni kutaka kuvuna tu kwa mgongo wa mwingine.

Watu hawaelewi, nchi inapoanza kuwa na hali ya namna hii tuliyo nayo sasa hivi mambo mengi sana huvurugika.

Ushauri ninaoweza kukupa zaidi: Angalia kama kuna mfanya biashara wa hayo madawa unayeweza kuwa na uaminifu naye, nenda kwake na jenga uhusiano naye wa karibu. Mweleze mkasa unaokupata. Ikiwezekana nenda na makasha ya hizo dawa ulizotumia ili kama ni feki atakwambia ni feki.

Lakini bado nina mashaka kidogo na ugonjwa wenyewe ulioambiwa kwamba ndilo tatizo. Piperazine ni dawa ya minyoo.
Na hilo tatizo linaloonekana kutoa kinyesi cha rangi ya chokaa na ugolo, si lazima iwe "Fowl cholera" pekee inayoweza kuonyesha dalili hizo.
Kwa hiyo huku pia bado kuna mashaka.

Kama upo karibu na ofisi za maabara ya serikali ya wizara ya mifugo, chukua kuku mmoja aliyeathirika wakampime ili ujulikane tatizo ni nini.
Nashukuru kwa ushauri nitaufanyia kazi
 
Wana JF,

Kwanza niseme asanteni sana maana ushauri ambao mmekuwa mnanipa nimekuwa nikiufanyia kazi unanipa matokeo mazuri. Sasa nina changamoto ya kuku wa sasso ambao wana umri wa miezi miwili wamekuwa wakifa hovyo.

Dalili wanakunya kinyesi cha rangi kama chokaa,wengine kinyesi ni kama udongo kinavyofanana!Sasso hawa niliwanunua silverlands.Chanjo zote walipatiwa.

Nilileta mtaalamu akadai kuwa ni fowl cholera, akaniandikia Trimovet, OTC 20%,ESB 3, Piperazine zote nikawaanzishia dozi ya siku 5, zingine siku mbili lakini ajabu vifo vinaendelea!Wakifa mdomoni wanatoa uteute kama wa juice ya bamia!

Msaada wa mawazo tafadhali.

View attachment 2610661
View attachment 2610663
Kuna mtu alinihadithia juzi ugonjwa kma huu na vifo kma vyako akanambia kashauriwa akanunue dawa inaitwa ganadex na alisema imemsaidia sanaaa
 
Kuna mtu alinihadithia juzi ugonjwa kma huu na vifo kma vyako akanambia kashauriwa akanunue dawa inaitwa ganadex na alisema imemsaidia sanaaa
Ngoja nikaitafute hiyo dawa ingawa siijui kabisa hata hilo jina ni geni kwenye mboni za macho yangu!
 
Back
Top Bottom