Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lonelinessusonji ndo unakuaje mkuu ila pole naomba kueleweshwa
Hiyo imesababishwa na nn ?Loneliness
Introvertion..kutojimixHiyo imesababishwa na nn ?
Sio tatizo kwa ushauri wangu wewe ni mkubwa ,angalau hata upate ndoa au mpenzi hao wengine hawana maana ...Kama ishu za kijamii jaribu kujimix wana watu ..Introvertion..kutojimix
mkuu usonji ni autismIntrovertion..kutojimix
Ndo nn hio autism?mkuu usonji ni autism
na hutokana na changamoto wakati wa kujifungua.
nina mtoto ana hilo tatizo.
halina tiba.
haihusiani na ulichoandika hapo.
Autism ndo nn?mkuu usonji ni autism
na hutokana na changamoto wakati wa kujifungua.
nina mtoto ana hilo tatizo.
halina tiba.
haihusiani na ulichoandika hapo.
Mkuu tueleze basmkuu umewezaje kuandika kwa ufasaha hivi?
nina binti yangu ana USONJI.
ana miaka 6 kuongea hawezi wala kuandika.
Tueleze mkuuUsonji/autism sio loneliness, sio introversion.
Nitajaribu kuielezea
Wanasema kuna levels tofauti za usonji. Wengine wanamanage kusoma na kuandika na kufanya mambo mengi tu. Ila anapata changamoto kwenye mawasiliano ya ana kwa ana, na managing emotions ...mkuu umewezaje kuandika kwa ufasaha hivi?
nina binti yangu ana USONJI.
ana miaka 6 kuongea hawezi wala kuandika.
Linatokea kipindi anapozaliwa au anaweza kulipata baada ya kuzaliwa?Wanasema kuna levels tofauti za usonji. Wengine wanamanage kusoma na kuandika na kufanya mambo mengi tu. Ila anapata changamoto kwenye mawasiliano ya ana kwa ana, na managing emotions ...
anazaliwa nalo mkuuMkuu hili tatizo linaweza kumpata baada ya mtoto kuzaliwa? Au anakuwa anazaliwa nalo?
Daah kuna dogo sema yeye alikuwa mzima kabisa mpaka miaka 11 baaadae akajaga kupata tatizo anakuwa hawezi kuongea vzuri ila maneno yanatoka, na anakumbuka kila mtu,Ni muundo wa akili uko tofauti, but sio kama taarifa. Haisababishwi na changamoto za kujifungua, bali wengi hurithi vinasaba