Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Maisha ya kujitegemea nimeyaanza january mwaka huu na kipato changu kwa mwezi kina range 400k mpaka 600k.
Nimepanga chumba kimoja na choo ndani kodi nalipia 80k kwa mwezi,
Usafiri natumia 2k kwa siku,
Kula natumia 6k mpaka 10k
So nikipiga hesabu pesa ya usafiri na kodi pamoja kula nakuwa natumia 300k kwa mwezi.
Sasa wakuu nlikuwa nauliza kulingana na kipato changu nikweli nastahili kuishi hivi au matumizi yamekuwa makubwa sana? Na kama ni makubwa je nastahili kuishi kwenye gharama za kiwango gani ili pia niweze kufanya maendeleo.
NB: sina nyumba wala kiwanja na hata aset za ndani pia sijanunua zaidi ya kitanda tu.
Nimepanga chumba kimoja na choo ndani kodi nalipia 80k kwa mwezi,
Usafiri natumia 2k kwa siku,
Kula natumia 6k mpaka 10k
So nikipiga hesabu pesa ya usafiri na kodi pamoja kula nakuwa natumia 300k kwa mwezi.
Sasa wakuu nlikuwa nauliza kulingana na kipato changu nikweli nastahili kuishi hivi au matumizi yamekuwa makubwa sana? Na kama ni makubwa je nastahili kuishi kwenye gharama za kiwango gani ili pia niweze kufanya maendeleo.
NB: sina nyumba wala kiwanja na hata aset za ndani pia sijanunua zaidi ya kitanda tu.