Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
- #21
Shukran sana mkuuMaisha unayoishi ni standard, angalia jinsi ya kuongeza kipato na usitafute namna ya kujitesa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran sana mkuuMaisha unayoishi ni standard, angalia jinsi ya kuongeza kipato na usitafute namna ya kujitesa.
Daah mkuu hii point yako nimeielewa sana nitafanyia kazi ushauri wako hakika ulichokisema ni ukweli mtupu.Vyaa bure gharama, chumba cha bei ndogo, utapanga foleni ya chooni, kuna uti, unakosa privacy, usalam wako na vitu na mambo kibao, mantiki ya hela ni kurahisisha maisha .
Naomba niweke ukweli ambao sikuwahi kuuelezea kokote pale wala kumwambia yoyote japo sina hakika kama formula hii ina apply kwenye maisha ya kila mtu.Maisha ya kujitegemea nimeyaanza january mwaka huu na kipato changu kwa mwezi kina range 400k mpaka 600k.
Nimepanga chumba kimoja na choo ndani kodi nalipia 80k kwa mwezi,
Usafiri natumia 2k kwa siku...
Mimi kwenye maisha yangu yote huwa naenda na option ya kuongeza kipato. Kujibana sana ni kuinyima akili kufanya kazi.Atleast umepata uthubutu wa kuanza. Hongera sana.
Katika uchumi, ikija topic ya "Money Management" tuna options mbili...
Hiyo mihogo sasa itaota tumboni ha ha ha.Asubuhi mihogo. 500
Mchanga ugali -15000
Usiku wali nyama 2000
Vocha 500
Maji500 @siku5000.
Kwa mwezi una save 350,000.
Baada ya mwaka unamiliki bajaji zako mbili namba E