Mkuu kama unataka ushauri na hakika unataka utoboe kimaisha fanya haya maamuzi.
a) Toka umepanga mpanga sasa una miezi 6. Lets say 6*80,000.. kodi tu vyeyewe umetumia 480,000 just 6 months.
Inaonekana we ni mtu mwenye expenditure kubwa sanaaaa. Cha kukushauri, kulingana na kipato chako, tafuta chumva yenye gharama nafuu zaidi ie singke ya 40,000. Hivyo kodi ya miezi 6 unatumua mwaka huku.
Kisha kwenye suala la chakula, nunua kibedi na hotpot. Jioikie chakula usiku cha kula mchana kazini. Pia kwenye manunuzi ya chakula nunua stick ya kutosha atleast 2 months.
Ishu ya usafiri pia angalia. Tenga peesa ya usafiri, jibane to the maximum. Jifunze kusave fedha, jiunge kwenye vikundi vya vijana huwa wanaita mchezo.
Ni hayo mdogo wetu, muda wako kupanbana