Naomba ushauri kwa mdogo wangu kuhusu ajira ya Tutorial Assistant

Naomba ushauri kwa mdogo wangu kuhusu ajira ya Tutorial Assistant

Haiko hivyo. Kwa njia unayoisema, alitakiwa tangu wakati anaomba ajira huko TRA, barua yake ipitishwe na mkuu wake wa idara. So long as ana cheki namba tayari, hawezi kwenda kupiga interview huko TRA kwa style hiyo...
Aaah kwaiyo hapa unamaanisha kwa nafasi zozote za serikali ili afanye interview kwingine itabidi aandike barua
 
Aaah kwaiyo hapa unamaanisha kwa nafasi zozote za serikali ili afanye interview kwingine itabidi aandike barua
Ndo maana yake. Ukishakua na ile check namba, kuhama kwake serikalini ni kwa kupitia mchakato ambao ni lazima uihusishe taasisi yako uliyopo (mkuu wa idara) kuanzia wakati wa kuomba kazi.

Na lazima mchakato uwe rasmi, na huko anakoenda wawe wametangaza nafasi za TRANSFER kutoka kwa watumishi walio taasisi zingine za serikali. Mchawi hapo ni hiyo check namba.

Asipoteze muda wake bure na kutafuta uhasama kwa wakuu wake wa kazi hapo UDSM.
 
Akomae na UDSM, aachane na TRA kwanza.

Faida atakazopata akiwa UDSM ni pamoja na kwenda kusomeshwa masters huko nje na pia pHD ila pia anaweza fanya thesis na research ambazo akifanikiwa kuweka juhudi sana, anaweza pata kazi za part time lecturer kwenye vyuo vingi duniani kupitia virtual meeting na akavuna madollar kibao.

He/she must think on the long term na sio short term.
 
Kama ana malengo ya kuja kuwa prof, abaki UDSM; pia akiwa ni mtu wa kuandika na kutoa machapisho atafika mbali.
Hela zipo tu na tutaziacha, tupunguze tamaa.​
KWELI, kama ana uwezo mkubwa wa kiakili, anaweza tengeza channel zingine za kupata pesa .
 
Akomae na UDSM, aachane na TRA kwanza.
Faida atakazopata akiwa UDSM ni pamoja na kwenda kusomeshwa masters huko nje na pia pHD ila pia anaweza fanya thesis na research ambazo akifanikiwa kuweka juhudi sana, anaweza pata kazi za part time lecturer kwenye vyuo vingi duniani kupitia virtual meeting na akavuna madollar kibao.

He/she must think on the long term na sio short term.
Nashukuru sana kwa ushauri ntamshauri hivo
 
Ndo maana yake. Ukishakua na ile check namba, kuhama kwake serikalini ni kwa kupitia mchakato ambao ni lazima uihusishe taasisi yako uliyopo (mkuu wa idara) kuanzia wakati wa kuomba kazi. Na lazima mchakato uwe rasmi, na huko anakoenda wawe wametangaza nafasi za TRANSFER kutoka kwa watumishi walio taasisi zingine za serikali. Mchawi hapo ni hiyo check namba. Asipoteze muda wake bure na kutafuta uhasama kwa wakuu wake wa kazi hapo UDSM.
Sawa kiongozi nashukuru kwa maelezo yako mazuri naamini ntamshauri dogo akomae tu hapa hapa udsm
 
Afanye zote aache ufala you never know, unless kama zinafanyika tarehe moja
 
Habarini ndugu zangu nilikuwanaomba ushauri kuna dogo langu anafundisha chuo kikuu cha Dar es Salaam kama Tutorial Assistant na kaitwa kufanya interview TRA kama Tutorial assistant.

Yuko anauliza je kuna umuhimu wa yeye kwenda TRA kufanya interview na akaachana na UDSM maana salary scale ya TRA ni nzuri na hajui kama kutakuwa na fursa mbalimbali kama allowances etc.

Nimeshindwa kumshauri moja kwa moja…naomba mawazo yenu wadau.

Ahsanteni.
Ukishaingia kwenye utumishi wa serikali kutoka taasisi moja kwenda nyingine ni utatakiwa kuandika barua ya kuomba nafasi ya kuhamia taasisi unayoitaka na barua yako inatakiwa ipitie kwa Muajiri wako ambae ni Afisa Masuuli au Accounting Officer kwa kimombo.

Akienda kufanya hiyo interview hata kama akifaulu hataweza kuajiriwa hapo TRA isipokuwa atatakiwa andike barua ya kuomba kuhamia ambayo atarudi kule kule mwanzo alipoparuka

Otherwise kama ana connection apiganishe apate barua moja kwa moja kutoka Wizara ya Utumishi kumuhamisha kutoka point A kwenda point B.
 
Chuo cha kodi kilikuwa kwenye mchakato wa kufanywa center of excellence kwa east africa sijajua wamefikia wapi.kwa maokoto ni pa kawaida tofauti na watu wanavyopachukuli wakisikia ni TRA wanasahau kua hawa wa chuoni hawako kwenye operation za makusanyo hawa wanafundisha tu so ni pakawaida sana coz unadeal na wanafunzi so wafanyabiashara akikoma udsm anaweza kufika mbali zaidi.part time trainers wanatoka udsm kwenda kufundisha pale chuo cha kodi pia kuna mtu kaacha pale kazi kahamia udsm so uamuzi uko ndani yake
 
Chuo cha kodi kilikuwa kwenye mchakato wa kufanywa center of excellence kwa east africa sijajua wamefikia wapi.kwa maokoto ni pa kawaida tofauti na watu wanavyopachukuli wakisikia ni TRA wanasahau kua hawa wa chuoni hawako kwenye operation za makusanyo hawa wanafundisha tu so ni pakawaida sana coz unadeal na wanafunzi so wafanyabiashara akikoma udsm anaweza kufika mbali zaidi.part time trainers wanatoka udsm kwenda kufundisha pale chuo cha kodi pia kuna mtu kaacha pale kazi kahamia udsm so uamuzi uko ndani yake
Nashukuru sana kwa ushauri wako nimepata mwanga zaidi
 
Ukishaingia kwenye utumishi wa serikali kutoka taasisi moja kwenda nyingine ni utatakiwa kuandika barua ya kuomba nafasi ya kuhamia taasisi unayoitaka na barua yako inatakiwa ipitie kwa Muajiri wako ambae ni Afisa Masuuli au Accounting Officer kwa kimombo.

Akienda kufanya hiyo interview hata kama akifaulu hataweza kuajiriwa hapo TRA isipokuwa atatakiwa andike barua ya kuomba kuhamia ambayo atarudi kule kule mwanzo alipoparuka

Otherwise kama ana connection apiganishe apate barua moja kwa moja kutoka Wizara ya Utumishi kumuhamisha kutoka point A kwenda point B.
Ahsante sana kwa mwongozo..nilihisi inabidi aandike barua kwa hr au head of department yake kumbe ni kwa accounting…nashukuru kwa mchango
 
Kwa hio unamaana UDSM hakuna maokoto ya kutosha?
Hapana maokoto yapo ila kuna kuzidiana pia scale za TRA naona zipo tofauti na hizi za serikali…yaani TRA ni kama wana scale zao wenyewe na wanajiendesha….tofauti na udsm iko chini ya mishahara ilopangwa na wizara ya elimu
 
Hapana maokoto yapo ila kuna kuzidiana pia scale za TRA naona zipo tofauti na hizi za serikali…yaani TRA ni kama wana scale zao wenyewe na wanajiendesha….tofauti na udsm iko chini ya mishahara ilopangwa na wizara ya elimu
Basi aondoke huko ambako hakuna maokoto akajiweke kwenye maokoto, for instance let say wewe upo sehemu wanalipa 1.5M per month umepata wanapolipa 4.5M per month, utaenda wapi?
 
Kama ana malengo ya kuja kuwa prof, abaki UDSM; pia akiwa ni mtu wa kuandika na kutoa machapisho atafika mbali.
Hela zipo tu na tutaziacha, tupunguze tamaa.​
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
Je,wakati unaandika barua ya maombi ya kazi ulipitisha kwa mwajiri wako? Kama haukupitisha hata interview usijisumbue kwenda maana hautaajiriwa hata ukipita.
 
Back
Top Bottom