Ndenge Nini
Senior Member
- Jul 28, 2022
- 125
- 216
Kachoka kula mbususu za wanafunzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habarini ndugu zangu nilikuwanaomba ushauri kuna dogo langu anafundisha chuo kikuu cha Dar es Salaam kama Tutorial Assistant na kaitwa kufanya interview TRA kama Tutorial assistant.
Yuko anauliza je kuna umuhimu wa yeye kwenda TRA kufanya interview na akaachana na UDSM maana salary scale ya TRA ni nzuri na hajui kama kutakuwa na fursa mbalimbali kama allowances etc.
Nimeshindwa kumshauri moja kwa moja…naomba mawazo yenu wadau.
Ahsanteni.
Ata pale alipo, akiitumia nafasi yake vizuri, worldwide atakuwa vizuri zaidi kuliko huko kwenye noti.Hutaki aokote maokoto mkuu ?
Acha tu mzee hio check namba hizo ndio hasara zake.Ndo maana yake. Ukishakua na ile check namba, kuhama kwake serikalini ni kwa kupitia mchakato ambao ni lazima uihusishe taasisi yako uliyopo (mkuu wa idara) kuanzia wakati wa kuomba kazi.
Na lazima mchakato uwe rasmi, na huko anakoenda wawe wametangaza nafasi za TRANSFER kutoka kwa watumishi walio taasisi zingine za serikali. Mchawi hapo ni hiyo check namba.
Asipoteze muda wake bure na kutafuta uhasama kwa wakuu wake wa kazi hapo UDSM.
TRA kuna maokoto kibao mwambie aende TRA kule pesa unajiokotea tu hadi raha
Hii kweli kabisa ni noma sana hao watu, wanabania fursa za wengine kinomaYuko
Yatoke wapiKwa hio unamaana UDSM hakuna maokoto ya kutosha?
Udsm maokoto yatoke wapi mzee?. Kama associate lecture aliyekomaa miaka zaidi ya 10 anasimamia USD 2500 si Bora ukomae upate InGOsHapana maokoto yapo ila kuna kuzidiana pia scale za TRA naona zipo tofauti na hizi za serikali…yaani TRA ni kama wana scale zao wenyewe na wanajiendesha….tofauti na udsm iko chini ya mishahara ilopangwa na wizara ya elimu
UDSM ukiondoa salary kuna posho yeyote wanayopewa?Habarini ndugu zangu nilikuwanaomba ushauri kuna dogo langu anafundisha chuo kikuu cha Dar es Salaam kama Tutorial Assistant na kaitwa kufanya interview TRA kama Tutorial assistant.
Yuko anauliza je kuna umuhimu wa yeye kwenda TRA kufanya interview na akaachana na UDSM maana salary scale ya TRA ni nzuri na hajui kama kutakuwa na fursa mbalimbali kama allowances etc.
Nimeshindwa kumshauri moja kwa moja…naomba mawazo yenu wadau.
Ahsanteni.