ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Duh!hakuna mgawanyo wa mali kapewa kila kitu
Appeal na weka court injunction kwenye nyumba au mali!
Haraka sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!hakuna mgawanyo wa mali kapewa kila kitu
Heri achukue mali tu!wewe unahitaji nini ,...mke au mali?????lakini hapo mke hakutaki kabisa...sahau fanya mpango mwingine
Pesa I guess!Bado mahakama haina mamlaka ya kuendesha exparte hearing na kutoa divorce order.Walitakiwa wampe natural justice.Walishindwa vipi kusikiliza upande wa pili?
Kuna mahali fulani umezembea, mke hawezi kuwa na malalamiko juu yako bila wewe kujua, mke hawezi kwenda mahakamani bila kuwa na sababu,Je wewe na mke mlikuwa mnaishi nyumba moja?Au kila mtu na mahali pake?Mahaka ya mwanzo Mwanza imetoa hukumu ya kuvunja ndoa yangu bila kuniksikiliza nilipouliza walisema hawanioni samasi sijawahi kuletewa hata siku moja wamesikiliza upande mmoja.
Ila kuna kila kiashiuria cha rushwa na sijatoka inje ya mwanza hata siku moja hakimu kaniambia hawawezi kunisaidia kwa lolote hiyo imetoka hapa ndio mjini
Nifanyeje
Unapenda Talaka eehNdoa ni watu wawili sasa kama mwenza ameamua kwenda mahakami inamaana hiyo ndoa ni RIP
Mwenzenu anawaza about division of matrimonial propertyNdoa ni watu wawili sasa kama mwenza ameamua kwenda mahakami inamaana hiyo ndoa ni RIP
Appeal against that Judgment will be abuse of court process. The proper remedy is to make an application to the court to set aside Exparte Judgment, whereby in his application he ought to state reasonable grounds for praying the court to do so.Kata rufaa acha kulia lia, shubaamit. Uombe kesi isikilizwe upya na wewe ukiwepo
Dada,shida ndoa ikivunjwa na mali zinagawanywa,unaweza kurudi nyumbani nyumba imeuzwa kutokana na hukumu ya kuvunja ndoa. Kwaiyo hapa siotu kutetea ndoa yake bali mali pia na Custody ya watoto.Ndoa ni watu wawili sasa kama mwenza ameamua kwenda mahakami inamaana hiyo ndoa ni RIP
Kwny mahakama Ile Ile au y juu yake?? Maana Kama Ni Ile Ile, hakimu ashamwambie hakuna Cha kumsaidiaAppeal against that Judgment will be abuse of court process. The proper remedy is to make an application to the court to set aside Exparte Judgment, whereby in his application he ought to state reasonable grounds for praying the court to do so.
Uko Dar?Kwny mahakama Ile Ile au y juu yake?? Maana Kama Ni Ile Ile, hakimu ashamwambie hakuna Cha kumsaidia
hakuna kitu kama hichohakimu anadai samasi ya gazeti ikisha toka ndio mwisho
siwezi kuapeal tena