Naomba Ushauri Matumizi Mashine Ya Kufulia

Nunua manual washing machine unaweka bafuni kama bafu kubwa na unaweza itoa nje ukatumia
 
Nunua manual washing machine unaweka bafuni kama bafu kubwa na unaweza itoa nje ukatumia
Naona front-loader ina muonekano wa mauzo vipi Manual Kuna front-loader
 
Wazee tununue mashine ya Kufulia wake zetu wasiishi kama watumwa..... yaani zimefuliwa na kukamuliwa nguo kibao kwa umeme wa 0.13, hata unit 1 hazijafika yaani Tsh 200 haijafika

maisha ya kitajiri sio lazima uwe na mapesa kama bahresa
 
Wazee tununue mashine ya Kufulia wake zetu wasiishi kama watumwa..... yaani zimefuliwa na kukamuliwa nguo kibao kwa umeme wa 0.13, hata unit 1 hazijafika yaani Tsh 200 haijafika

maisha ya kitajiri sio lazima uwe na mapesa kama bahresa
Mwishoni utaomba Mungu afanye namna ili wanaume wapuuzi kama wewe muwasaidie wake zenu kubeba mimba
 
Wazee tununue mashine ya Kufulia wake zetu wasiishi kama watumwa..... yaani zimefuliwa na kukamuliwa nguo kibao kwa umeme wa 0.13, hata unit 1 hazijafika yaani Tsh 200 haijafika

maisha ya kitajiri sio lazima uwe na mapesa kama bahresa
Usisahau pia kununua nguo mara kwa mara
 
Inafaa kufanyia biashara mtaani?
 
Wakuu nmeona hii washing machine inauzwa 250,000/=.
Kama kuna mwenye experience na hizi machine za kichina naomba anipatie.
 

Attachments

  • IMG_20250210_144352.jpg
    169.6 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…