Naomba Ushauri Matumizi Mashine Ya Kufulia

Naomba Ushauri Matumizi Mashine Ya Kufulia

Habarini Ndugu
Nyumba Ninayoishi haina miundombinu rafiki ya kutumia washing mashine , ingawa nyumba ina choo ndani na jiko na maji yanaflow ndani

Naomba nijue mashine ipi itakua rafiki kwa matumizi ya familia kwa bajeti Isiyozidi laki 7

Pia nakaribisha mawazo mbadala mmefanyaje wadau
Asante
Nunua manual washing machine unaweka bafuni kama bafu kubwa na unaweza itoa nje ukatumia
 
Nunua manual washing machine unaweka bafuni kama bafu kubwa na unaweza itoa nje ukatumia
Naona front-loader ina muonekano wa mauzo vipi Manual Kuna front-loader
 
Wazee tununue mashine ya Kufulia wake zetu wasiishi kama watumwa..... yaani zimefuliwa na kukamuliwa nguo kibao kwa umeme wa 0.13, hata unit 1 hazijafika yaani Tsh 200 haijafika

maisha ya kitajiri sio lazima uwe na mapesa kama bahresa
 
Wazee tununue mashine ya Kufulia wake zetu wasiishi kama watumwa..... yaani zimefuliwa na kukamuliwa nguo kibao kwa umeme wa 0.13, hata unit 1 hazijafika yaani Tsh 200 haijafika

maisha ya kitajiri sio lazima uwe na mapesa kama bahresa
Mwishoni utaomba Mungu afanye namna ili wanaume wapuuzi kama wewe muwasaidie wake zenu kubeba mimba
 
Wazee tununue mashine ya Kufulia wake zetu wasiishi kama watumwa..... yaani zimefuliwa na kukamuliwa nguo kibao kwa umeme wa 0.13, hata unit 1 hazijafika yaani Tsh 200 haijafika

maisha ya kitajiri sio lazima uwe na mapesa kama bahresa
Usisahau pia kununua nguo mara kwa mara
 
Nimenunua Hisense huu ni mwezi wa 9, haijawahi nisumbua. Ni Top Load ya 7Kg, inasuuza na kukamua tu, ni nzuri sana. Namna inavyokamua nguo, kukiwa na jua la kutosha ni nusu saa hadi saa 1 tu nguo imekauka, nguo nyepesi unaweza zipiga hata pasi zikakauka vizuri tu, bei ilikuwa 750,000 tu
Inafaa kufanyia biashara mtaani?
 
Wakuu nmeona hii washing machine inauzwa 250,000/=.
Kama kuna mwenye experience na hizi machine za kichina naomba anipatie.
 

Attachments

  • IMG_20250210_144352.jpg
    IMG_20250210_144352.jpg
    169.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom