Kwanini ulikataa kumuoa??? Dini yako si inaruhusu ?? Ulitaka mufanye uzinzi kila siku sio?? Bora kaolewa na ingekuwa namjua ningemwambia asikubali hata kwa bunduki japo kusikia sauti yako tuHuwezi kuelewa boss.
Kuna mambo yule mwanamke kanifanyia mpaka home mpaka siwezi kuandika humu.
Huwezi kuelewa nilivyokua nikiishi nae, kama uliwahi kufiwa na rafiki au mtu wako wa karibu unaweza kuelewa vinginevyo utabaki kunitusi na kunikejeli tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Hapana hawateseki bana,wanawake wengi wenye ndoa wanaishi kwenye paradiso ndogo kama malkia Elizabeth,hawateseki kamwe (kwa mujibu wa waume zao walioko huku jf)
Shost eeh utajipa stress bureee,wengi wanaokoment humu nimegundua ni vitoto vya sekondari na vyuo,wanapass time to, that's y hata kushiriki minakasha humu nimepunguza kwa asilimia 90,nimeona ntajipa kisukari buleee kusoma ama kujadil mada za kisekondari kila leo
Ni kweli aisee mimi siku hizi sijisumbui kubishana na mtu kwa facts, kama nitatoa fact basi ni kwa ufupi maana nimegundua kuna watu wapo kwaajili ya kutujaza upepo na mimi kujaa nimegoma
ππππππ nadhani litakuwa jibu sahihi zaidi kwa mtoa madaHv mnaoa ili iweje sasa, mke awe mlinzi wa nyumba au
iHuwezi kuelewa boss.
Kuna mambo yule mwanamke kanifanyia mpaka home mpaka siwezi kuandika humu.
Huwezi kuelewa nilivyokua nikiishi nae, kama uliwahi kufiwa na rafiki au mtu wako wa karibu unaweza kuelewa vinginevyo utabaki kunitusi na kunikejeli tu
Serious man,Habari zenu wadau wa Jamiiforums.
Ni mara yangu ya kwanza kutuma ujumbe wenye maudhui kama haya hapa jukwaani.
Naomba mnipe ushauri jinsi ya kukabiliana na stress zinazonikabili.
Suala liko hivi; mwaka jana Oktoba mpenzi (mchepuko) wangu alipata mchumba akaja kuniuliza nikubali au nikatae asiolewe.
Mimi niliona sio vema kumkataza asiolewe maana mimi nina mke, lakini huyu mdada tulielewana sana, aliheshimu ndoa yangu sana, alikua mshauri mzuri mpaka kwenye masuala yangu ya kifamilia na kikazi.
Kuna wakati alikua akinishawishi nimuoe awe mke wa pili, lakini sikuwahi kuwaza kuwa na mke zaidi ya mmoja hivyo nilikataa, akasema sio shida anataka tuendelee kuwa wapenzi no matter what.
Sasa baada ya kumshauri akubali kuolewa, kweli jamaa mwezi Januari akaleta barua, kisha taratibu zote zikafuata.
Sasa leo ndio siku wapo wanafunga ndoa, kuna bonge la sherehe, dada zake (shemeji zangu) wamenipigia simu niende, rafiki zake wa karibu wa kazini kwao wamenipigia simu niende lakini moyo umeshindwa kabisa japo zawadi nilinunua nikampa rafiki yake akapeleka.
Wakuu huyu mwanamke ameolewa kwa ruhusa yangu lakini nimepata stress tangu juzi kila ninachofanya hakiendi, kila ninachoshika hakiendi, yaani nahisi kama akili zangu zimesimama kufanya kazi.
Nisadieni namna ya kukabiliana na hali hii ndugu zangu. Naomba msinitukane, msinihukumu wakuu, nisaidieni natokaje kwenye huu msongo wa mawazo.
Kukutusi ni lazima kwa sababu wewe umetaka iwe hivyo. Kama roho inakuuma kwanini uruhusu aolewe!? Kama unaona mtamu sana na anakupenda zaidi muache mkeo kapange uishi nae.Mnisaidie ushauri namna ya kuachana na stress zinazonikabili.
Niko na stress sana wakuu lakini naona mnaishia kunitusi na kejeli.
Vipi kuhusu weweHuwezi kuwa serious man [emoji16][emoji16][emoji16],,, we ni emotional man!!!
Wewe tu unantosha kuwa sababu ya kutokuwaza michepuko bebiπππVipi kuhusu wewe
Ahsante babe[emoji7][emoji7] mimi penda sana weweWewe tu unantosha kuwa sababu ya kutokuwaza michepuko bebi[emoji7][emoji7][emoji7]
Shida hawa vijana wanahamisha majeshi kwa michepuko huku tumegharamia sana ndoa zao af wanakuja kuuliza maswali ya kipuuzi humu
πππππππ
Kwani mamdogo unao wangapi mwenzangu? Nipe na mie mmoja basiAhsante babe[emoji7][emoji7] mimi penda sana wewe