Naomba ushauri: Mchepuko wangu ameolewa leo, nimekubwa na msongo wa mawazo

Naomba ushauri: Mchepuko wangu ameolewa leo, nimekubwa na msongo wa mawazo

Habari zenu wadau wa Jamiiforums.

Ni mara yangu ya kwanza kutuma ujumbe wenye maudhui kama haya hapa jukwaani.

Naomba mnipe ushauri jinsi ya kukabiliana na stress zinazonikabili.

Suala liko hivi; mwaka jana Oktoba mpenzi (mchepuko) wangu alipata mchumba akaja kuniuliza nikubali au nikatae asiolewe.

Mimi niliona sio vema kumkataza asiolewe maana mimi nina mke, lakini huyu mdada tulielewana sana, aliheshimu ndoa yangu sana, alikua mshauri mzuri mpaka kwenye masuala yangu ya kifamilia na kikazi.

Kuna wakati alikua akinishawishi nimuoe awe mke wa pili, lakini sikuwahi kuwaza kuwa na mke zaidi ya mmoja hivyo nilikataa, akasema sio shida anataka tuendelee kuwa wapenzi no matter what.

Sasa baada ya kumshauri akubali kuolewa, kweli jamaa mwezi Januari akaleta barua, kisha taratibu zote zikafuata.

Sasa leo ndio siku wapo wanafunga ndoa, kuna bonge la sherehe, dada zake (shemeji zangu) wamenipigia simu niende, rafiki zake wa karibu wa kazini kwao wamenipigia simu niende lakini moyo umeshindwa kabisa japo zawadi nilinunua nikampa rafiki yake akapeleka.

Wakuu huyu mwanamke ameolewa kwa ruhusa yangu lakini nimepata stress tangu juzi kila ninachofanya hakiendi, kila ninachoshika hakiendi, yaani nahisi kama akili zangu zimesimama kufanya kazi.

Nisadieni namna ya kukabiliana na hali hii ndugu zangu. Naomba msinitukane, msinihukumu wakuu, nisaidieni natokaje kwenye huu msongo wa mawazo.
script ya movie bongo
 
Hehehe afu huko bwana harusi wanamjaza upepo leo siku ya muhimu sn ktk maisha yako.,gadeeem🤦🏼‍♀️
 
Usihofu huduma ipo palepale ila kubali nawewe kuitwa mchepuko mana tayari ana mume wake.
 
Ruhusu moyo wako uache aende. Let it go. Kinachokutokea ni kawaida kwa mtu uliyemzoea baada ya muda utamsahau tu.

Nakushauri kama ulikuwa unafanya vitu kwa mchepuko kama kumpa zawadi, kumtoa out au chochote kile basi kifanye kwa mkeo. Jitahidi tu kumfanyia mkeo mazuri hata kama hatakuonyesha kuyapokea kama alivyokuwa anafanya mchepuko, wewe endelea tu utaona matokeo bora baada ya muda.

NB: Husitafute mchepuko mwingine kipindi hiki
 
Habari zenu wadau wa Jamiiforums.

Ni mara yangu ya kwanza kutuma ujumbe wenye maudhui kama haya hapa jukwaani.

Naomba mnipe ushauri jinsi ya kukabiliana na stress zinazonikabili.

Suala liko hivi; mwaka jana Oktoba mpenzi (mchepuko) wangu alipata mchumba akaja kuniuliza nikubali au nikatae asiolewe.

Mimi niliona sio vema kumkataza asiolewe maana mimi nina mke, lakini huyu mdada tulielewana sana, aliheshimu ndoa yangu sana, alikua mshauri mzuri mpaka kwenye masuala yangu ya kifamilia na kikazi.

Kuna wakati alikua akinishawishi nimuoe awe mke wa pili, lakini sikuwahi kuwaza kuwa na mke zaidi ya mmoja hivyo nilikataa, akasema sio shida anataka tuendelee kuwa wapenzi no matter what.

Sasa baada ya kumshauri akubali kuolewa, kweli jamaa mwezi Januari akaleta barua, kisha taratibu zote zikafuata.

Sasa leo ndio siku wapo wanafunga ndoa, kuna bonge la sherehe, dada zake (shemeji zangu) wamenipigia simu niende, rafiki zake wa karibu wa kazini kwao wamenipigia simu niende lakini moyo umeshindwa kabisa japo zawadi nilinunua nikampa rafiki yake akapeleka.

Wakuu huyu mwanamke ameolewa kwa ruhusa yangu lakini nimepata stress tangu juzi kila ninachofanya hakiendi, kila ninachoshika hakiendi, yaani nahisi kama akili zangu zimesimama kufanya kazi.

Nisadieni namna ya kukabiliana na hali hii ndugu zangu. Naomba msinitukane, msinihukumu wakuu, nisaidieni natokaje kwenye huu msongo wa mawazo.
VITU BABA
 
Pole. Time heals.

Hold on kila kitu kitakuwa back to normal.

Kikubwa usikubali hata kumwonja tena utajiingiza katika matatizo makubwa kuanzia ya kiuchumi ( you will always want to be her helo) hadi kijamii.

Kinachokupata sasa sio mapenzi , ni WIVU tu na udume dume. Laiti ungempenda usingemruhusu aolewe au kukata kumwoa as second wife , maana tunasema mapenzi unaweza kwenda extra mile.

Swali la kichokonozi- mpaka wanakubaliana kuoana then akaja " kukuomba ruhusa"- walikuwa hawajaanza kubanjuana??. Mlikuwa mnachepukiana.
 
Habari zenu wadau wa Jamiiforums.

Ni mara yangu ya kwanza kutuma ujumbe wenye maudhui kama haya hapa jukwaani.

Naomba mnipe ushauri jinsi ya kukabiliana na stress zinazonikabili.

Suala liko hivi; mwaka jana Oktoba mpenzi (mchepuko) wangu alipata mchumba akaja kuniuliza nikubali au nikatae asiolewe.

Mimi niliona sio vema kumkataza asiolewe maana mimi nina mke, lakini huyu mdada tulielewana sana, aliheshimu ndoa yangu sana, alikua mshauri mzuri mpaka kwenye masuala yangu ya kifamilia na kikazi.

Kuna wakati alikua akinishawishi nimuoe awe mke wa pili, lakini sikuwahi kuwaza kuwa na mke zaidi ya mmoja hivyo nilikataa, akasema sio shida anataka tuendelee kuwa wapenzi no matter what.

Sasa baada ya kumshauri akubali kuolewa, kweli jamaa mwezi Januari akaleta barua, kisha taratibu zote zikafuata.

Sasa leo ndio siku wapo wanafunga ndoa, kuna bonge la sherehe, dada zake (shemeji zangu) wamenipigia simu niende, rafiki zake wa karibu wa kazini kwao wamenipigia simu niende lakini moyo umeshindwa kabisa japo zawadi nilinunua nikampa rafiki yake akapeleka.

Wakuu huyu mwanamke ameolewa kwa ruhusa yangu lakini nimepata stress tangu juzi kila ninachofanya hakiendi, kila ninachoshika hakiendi, yaani nahisi kama akili zangu zimesimama kufanya kazi.

Nisadieni namna ya kukabiliana na hali hii ndugu zangu. Naomba msinitukane, msinihukumu wakuu, nisaidieni natokaje kwenye huu msongo wa mawazo.
Kunywa chai ya tangawizi kwa wingi
 
Ruhusu moyo wako uache aende. Let it go. Kinachokutokea ni kawaida kwa mtu uliyemzoea baada ya muda utamsahau tu.

Nakushauri kama ulikuwa unafanya vitu kwa mchepuko kama kumpa zawadi, kumtoa out au chochote kile basi kifanye kwa mkeo. Jitahidi tu kumfanyia mkeo mazuri hata kama hatakuonyesha kuyapokea kama alivyokuwa anafanya mchepuko, wewe endelea tu utaona matokeo bora baada ya muda.

NB: Husitafute mchepuko mwingine kipindi hiki
Nashukuru mkuu.
Ubarikiwe sana
 
Jifunze kumwacha aende.......
Japo ni ngumu....ila nasisitiza...siku ulipozaliwa, wwzazi wako hawakukuambia kuwa utakutana naye...so jitunze kumwacha aende...[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Pole. Time heals.

Hold on kila kitu kitakuwa back to normal.

Kikubwa usikubali hata kumwonja tena utajiingiza katika matatizo makubwa kuanzia ya kiuchumi ( you will always want to be her helo) hadi kijamii.

Kinachokupata sasa sio mapenzi , ni WIVU tu na udume dume. Laiti ungempenda usingemruhusu aolewe au kukata kumwoa as second wife , maana tunasema mapenzi unaweza kwenda extra mile.

Swali la kichokonozi- mpaka wanakubaliana kuoana then akaja " kukuomba ruhusa"- walikuwa hawajaanza kubanjuana??. Mlikuwa mnachepukiana.
Asante kwa ushauri boss.

Kuhusu kubanduana siwezi kulisemea sana, but yule jamaa ni swala 5 na process kaanzia kwao mke, mke kaja kuambiwa na wazee wake kwamba kuna jamaa anakuhitaji, sasa hapo ndio akaja kunishirikisha, kama binadamu niliona aolewe tu, nadhani hata kama ningekataa still angeolewa hata kama sio leo.
 
Back
Top Bottom