Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
Hongera waTanzania, Siku yenu njema!
Kama utamaduni wetu wa kushauriana naomba ushauri kwenu wote; hivi nina mdogo wangu miaka 22 huko Marekani leo ni mwezi wa saba amejikita na kujiunga na Clabu ya masumbwi (Boxing club) sasa anvyosema yeye kuwa anazipiga vizuri tu, sasa mie bila kushuhudia.
Sijui niikubali au nisimamishe aendelee na masomo kwani kilichompeleka!!
Feel free mnakarbishwa
Kama utamaduni wetu wa kushauriana naomba ushauri kwenu wote; hivi nina mdogo wangu miaka 22 huko Marekani leo ni mwezi wa saba amejikita na kujiunga na Clabu ya masumbwi (Boxing club) sasa anvyosema yeye kuwa anazipiga vizuri tu, sasa mie bila kushuhudia.
Sijui niikubali au nisimamishe aendelee na masomo kwani kilichompeleka!!
Feel free mnakarbishwa