Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Ni ushauri mzuri sana
 
Na anaweza kumuua kweli.

maana hana cha kupoteza!!!
 
Huu uzi bado unapendelea [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Dah pole aisee umewekeza upendo wako mwingi wamekudissapoint aisee si bora ungewekeza upendo na muda mwingi kwa watoto wako wandoa pengine wangekua proud zaidi na zaidi kuliko sasa maana uliwadhulumu baadhi ya vitu kama uwepo wako karibu,upendo ukaugawa dah anyway Mungu ni mwema siku zote imekupatia somo lakini.
 
Ila sasa huko mahakamani mchepuko kakataa kuwa hakuwa akijua mimi nina mke,
Ameshapewa maujanja na watu,

Na anasema anajua mali zangu zote pamoja na nyumba ya mke mkubwa zote anataka zichanganywe kwenye kesi na kama kugawana, zigawanyee zote
Duhh
 
Kata mawasiliano na hao watoto haraka sana. Kwanza kawapime DNA mengine yafuate.
Pale mapenzi yanapoleta uadui...
Hivi una hamu ya kuchepuka tena kweli??
 
Yani sisi wanawake ukimpata mwenye akili kweli umepeta, na ukimpata kilaza kweli Ni iilaza completely, vyeti vya ndoa vitakusaidia na bimkubwa awe shahidi ako mbona apo kwisha habari ake huyo.
 
Duu...
Pigeni bei io rasilimali, mgawane kilichopatikana, kila mtu aende njia yake.
Wewe Rudi kwa bi mkubwa
 
Hii story iliishia hapa mbona kama vile unaendelea?
 
DNA! Kahakikishe hao mabinti ni wanao kweli, una kila dalili za mmoja hapo kupigwa, na ndiye anayempa sumu mwenzake(wako halisi) kukuchukia na kukudharau! Usipuuze hili tafadhali.! Ni mara ya tatu hii narudia kama sikosei! Usidharau!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Bado hajawahi kushinda. Kuwa na amani mke wa ujana wangu. Napambana naye vikali. Labda nichoke siku moja kwa bahati mbaya
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hahahah

haya mume wa ujana wangu

uwe na siku njema
 
Yani sisi wanawake ukimpata mwenye akili kweli umepeta, na ukimpata kilaza kweli Ni iilaza completely, vyeti vya ndoa vitakusaidia na bimkubwa awe shahidi ako mbona apo kwisha habari ake huyo.
yaani ayatindiganye miaka 18

halafu atake bi mkubwa awe shahidi????

serious?????
 
yaani ayatindiganye miaka 18

halafu atake bi mkubwa awe shahidi????

serious?????
Sisi wanawake tumeumbiwa kusamehe na kusahau hasa kwa mwanaume alieomba msamaha wa dhati kabisa, huyo mama sidhani Kama anaweza kataa kumsaidia mumewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…