Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Mkuu unazikwepa quote zangu, usishupaze shingo. Kapime DNA, au fanya hata vipimo vya kiasili ujue uhalisi wa hao watoto, mara ya nne hii narudia.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Mkulungwa.,
Umenifanya nicheke,

Ni kweli ni mara ya nne, ushauri wako nimeupokea hapa nilikuwa natafakari kweli,

Lakini pamoja ni ushauri mzuri, naona ni bora kwanza niendelee na hili la Mahakamani kwanza, nione mwisho wake., maana na lenyewe linaniumiza kichwa haswa, kwanza muda unopoteza huko na kupigwa pigwa kalenda na kazi za watu hizi, sio mchezo,

Nimekuelewa ndugu yangu, maana umeongeza kitu hapo
 
Ukipima watoto DNA na ikaonekana sio wako hapo kesi pia itapungua makali. Mbona kazi rahisi sana...ila.kuanzia sasa mkeo atapata raha sana maana unaenda kuishi kama malaika...hata ukiona mchepuko hutasimaisha mnara [emoji1787]
 
Ukipima watoto DNA na ikaonekana sio wako hapo kesi pia itapungua makali. Mbona kazi rahisi sana...ila.kuanzia sasa mkeo atapata raha sana maana unaenda kuishi kama malaika...hata ukiona mchepuko hutasimaisha mnara [emoji1787]
😂😂😂😂
 
Ahsante sana! Kila la kheri mkuu!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Ila sasa huko mahakamani mchepuko kakataa kuwa hakuwa akijua mimi nina mke,
Ameshapewa maujanja na watu,

Na anasema anajua mali zangu zote pamoja na nyumba ya mke mkubwa zote anataka zichanganywe kwenye kesi na kama kugawana, zigawanyee zote
Wewe hujaweka mwanasheria huko mahakamani?
 
Andika mirathi kisheri na uisajili RITA kabisa + kuteua msimamizi wa mirathi mapema kabla hujaacha mtafaruku
 
Semester zinazofuata usilipie ada tena na Bumu wakachukue kwa mama yao.

Wakati mwingine haya maisha yanahitaji undava undava.

Yaani wewe ulishindwa kuzungushia hiyo nyumba ukuta hlf ukaweka fensi ya umeme na Suma jkt getini kweli?

Au kuipangisha hiyo nyumba mapema mapema kweli?
 
Kata mawasiliano na hao watoto haraka sana. Kwanza kawapime DNA mengine yafuate.
Pale mapenzi yanapoleta uadui...
Hivi una hamu ya kuchepuka tena kweli??
Ha ha ha sasa hivi hata nguvu za kiume hana huyu.....
 
Hapo kuna njia mbili....

1.Tafuta wataalamu wa kumaliza kesi kwa kivyovyote vile.... au

2. Fanya maarifa aondoke hapo nyumbani kwako maana ndiyo kunampa free ride .... Weka mwanasheria akusimamie- ili isiwe lazima wewe kupuyanga mahakamani daily, hlf ongea na hakimu na muendesha mashitaka vizuri hiyo kesi iwe inapigwa kalenda tu ( apuyange kwenda mahakamani kwa miaka kadhaa mpaka apauke na believe me hata wanaomsupport watamkimbia).

Narudia tena ,kwenye maisha kuna kipindi inahitajika undava undava brother.
 
Hizi Mali zingine badilisha majina weka ya watoto wa bimkubwa na ndugu zako wengine.
Nimekuelewa sana,
Hebu Naomba nisaidie hapo,

Inamaana pamoja na vyeti vya ndoa, mahakama inaweza kumsikia na ikampa haki?, namaanisha kwa mali za bi mkubwa
 
Ndio ilikuwa nia yangu kumwondoa mtoto, lakini mtoto alivyogoma kuondoka tu, mission yote ikafa, kumbuka ilitakiwa aondoka siku mbili kabla ya mimi kusafiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…