Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Yani huyu mwanamke na tena ni mchepuko anakuambia akushikie pesa na unakosa jibu unawaza ufanyaje mkuu, hebu anza kuamka hizo akili sio zako, usijaribu kumpa mwanamke kitita cha pesa zishike uzipangie matumizi
Mtake radhi baba wa watu.. huyo mwanamke wa pili kamchukulia Kama mke kwake na si mchepuko
 
Hapa ndo michepuko wananikomesheaga watu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tulia uandike story nzima....,Japo story yako ni somo kwa vijana inaboa sababu ya vipande vipande...
 
Mzee umesema ukistaafu una Kama 250m? Naomba nikufariji pindi utakapostaafu umehangaika Sana na majukum ya hapa na pale unahitaji kutulia Sasa na kula mema ya nchi...mi sihitaji kuzaa ucjal

[emoji23][emoji23], baba bado ana mitihani inamuwinda.
 
Usimuhukumu kwanza ngoja amalize kwanza
 
Ila mzee fanya umalize ...unatuletea kiduchu duchu stimu inakata...wengine kurudi Rudi kwenye nyuzi Mara kumikumi mtihani..tuonee huruma
 
Kina pilato Sasa😀😀
 
Mtake radhi baba wa watu.. huyo mwanamke wa pili kamchukulia Kama mke kwake na si mchepuko
Hawezi kuwa mke mdogo ilihali hajamtambulisha kwa mke wake, atabaki kuwa mchepuko, ukweli unauma acha nimkandamizie moto humo humo,
 
Kina pilato Sasa[emoji3][emoji3]
Mchepuko kasha sepa na kibunda cha pesa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nyie watu,

ila usikubali kamwe kuishi maisha ya nyumba ndogo hakuna faida zaidi ya kumuumiza mwanamke mwenzako na kuishi kwa kujificha ,umenipa na jina kabisa upilato
 
Mchepuko kasha sepa na kibunda cha pesa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nyie watu,

ila usikubali kamwe kuishi maisha ya nyumba ndogo hakuna faida zaidi ya kumuumiza mwanamke mwenzako na kuishi kwa kujificha ,umenipa na jina kabisa upilato
Acha avune alichopanda
 
Mungu wangu,
Mengine wala si ya kucheka,
Ngoja nipaze sauti.

WANAUME TUANZE KUJIONEA HURUMA KWANZA SISI WENYEWE NA MENGINE BAADAYE, HALAFU TUWAPENDE SANA NDUGU ZETUWA KUZALIWA,HAO WATAKUFANA SISI,

KUSOMESHA WATOTO SAWA LAKINI USIJIUMIZE FANYA KWA KIASI ,

ANGALIA SANA FUTURE YAKO MWENYEWE KWANZA BAADAYE HUKO MBELE ITABIDI UJITUNZE MWENYEWE
 
Lakini usisahau ndio sehemu ya maisha, mwanaume anacyotakiwa kuishi, hiyo ipo toka dunia inaanza, na usisahau binadamu ni mnyama, tunajifaragua tu, tabia zote za wanyama tunazo, kwa hiyo ukiona wanyama wana wake wengi na sisi ndio ilitakiwa tuwe hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…