Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2


Alooo, kabla hujamaliza kuhafithia kisa chako ila ww ni ndezi! (Samahani sana kwa ukali wa maneno ila nimelazimika) ww ni ndezi mkuu au ulirogwa?

Nisomeshe watoto, nikujengee, nikufanyie yote hayo alafu unitamkie hivyo. Na watoto wanashabikia si uende kwenu, (hivi hao watoto ni wako, ulipima DNA?)

Ningekua mimi ndio wewe huyo mwanamke ningempasua ubongo, na hao watoto ningewachinja kama kuku [emoji3545][emoji3545][emoji3545][emoji1421]
 
Tatizo lako lilianza ulipokua kijana ulijifanya umeokoka sanaa, ukaja kujulia mbunye ukubwani, ikiwa alikupa dawa hapo ni sawa ila vinginevyo ulikua na unazeeka bado mshambaa wa mapenzi, na limbukeni wa wanawake... ww kenge mmoja akusumbue maisha yako yote haushtuki???msijifanyege walokole wakuu, k za ukubwani ndio shida zake hizo,
 
Hapana Maya, sometimes lazima ubinadamu uchukue nafasi regardless ya mapungufu ya bi mdogo. Ile nyumba na kiwanja kilichouzwa ilikuwa ni kwa ajili ya bi mdogo. Kumnyang'anya hela bi mdogo inayotokana na nyumba yake na wanae sio ubinadamu. Jamaa alikuwa anajaribu kuwa muungwana kuendelea kuyaheshimu makubaliano ya mwanzo kwa sababu nature ya hiyo hela ni ya bi mdogo. Yeye kama baba alikuwa anahakikisha anatoa mwongozo wa matumizi sahihi ya hiyo hela.
 
Semeni nyie tukisema sisi mnasema tunamuonea
Hivi unawezaje kumpa tena 30m jamaniiii mbona nimetamani kutoa chozi
Huyu baba alikuwa under madawa sio kawaida[emoji19][emoji19]
Iko tatizo mahali aisee duh
 
Sure kwa wanaume strictly woooi hutoboi walah tena hili swala angelifikisha kwa ukoo wanaume wangemsaidia shaona kwetu tena bila kuathiri nyumba kubwa

Kweli kabisa.
 
Ahsante sana, ndugu.
 

Hapana huyu mwanamke alishaanza kuonyesha ni mshenzi tu
Mimi kwakweli hio roho ya huruma huwa sina haswa mtu akitanguliza ujinga siwezi kumsamehe mtu anae nikanyaga makusudi akitarajia akiniomba msamaha nimuelewe ndio situation kama ya huyu baba
Pale pale alipoanza kununua magodoro ndio ingekuwa mwisho wake
Kuna wanawake wanatamani mwanaume Kama huyu yeye analeta ujinga
 
Sure kwa wanaume strictly woooi hutoboi walah tena hili swala angelifikisha kwa ukoo wanaume wangemsaidia shaona kwetu tena bila kuathiri nyumba kubwa
Kafeli sanaa, tena pakubwaaa
 
Wenyewe wanaume watakwambia ni nguvu ya papuchi ujinga tu

Ujinga ujinga tu
Mwanaume anae hangaika na michepuko akitulia akajenga na mkewe anakuwa mbali zaidi nguvu anayo igawa huku na huku
Huyu mzee angewekeza kwa familia yake angekuwa zaidi ya hapa alipo now naamini
Kwanza mchepuko kapewa mtaji zaidi ya mara mbili kafeli aisee aaargh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…